Arnold mrass cannambo
JF-Expert Member
- Apr 13, 2018
- 4,067
- 2,640
How the hell can you compare kilimani to sijui mapanga na vijiko za nyama???Hii ndio ndefu kilimani na ina 25floorView attachment 864343
How the hell can you compare kilimani to sijui mapanga na vijiko za nyama???Hii ndio ndefu kilimani na ina 25floorView attachment 864343
Hapo nn cha ajabu? Usiwe kama kenge
Kunguni wewe huijui Kariakoo vizuri...!!![]()
![]()
![]()
Hizo ni Kariokoo kumi!!!
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hao wanadhani Nairobi nilika yao
Panya buku wewe kumbe hata Upanga huijui, Viva na Uhuru Heights ziko Upanga East tena ni mpakani mwa Posta na Upanga EastMimi naeka vitu viko kilimani mwingine anaweka sijui viva za posta .....king distinction 20 floor towerView attachment 864407View attachment 864408
Kariakoo tunaijua vizuri sababu tuna nyingi hapa mitaaniKunguni wewe huijui Kariakoo vizuri...!!
Laiti ungefika au kuijua Kariakoo ipoje usingeropoka ropoka hapa
Sawa nimeelewa posta imekatwa vipande ndio kuwe na upanga sio?Panya buku wewe kumbe hata Upanga huijui, Viva na Uhuru Heights ziko Upanga East tena ni mpakani mwa Posta na Upanga East
miaka ya zamani vijana wa kikenya waliokuja tz kutafuta maisha walikuwa wanaitumia english kama mtaji wa kupata ajira ya ualimu katika shule binafsi nchini.S
Spot on! Jamaa ni jokers sana! kuna wengine huwa wanajifanya wanadharau sana kiswahili, ila cha ajabu hata ukiongea nao hiyo English pia wanachapia dahhh!
Honestly, kuna marafiki hawa wazungu waliniambia ninyi wa Tz mbona hamuongeagi sana English kuliko hawa wa ke, ila tunawaelewa sana nyie mkiongea kuliko hawa, nikacheka sana!
Hapana, Posta ni ile CBD yenyewe ya Dar but when you talk about Upanga ni habari nyingine tofauti kabisa na Posta thus why kwa ukubwa wa Upanga ikagawanyika East and West of itSawa nimeelewa posta imekatwa vipande ndio kuwe na upanga sio?
endeleeni kutukuza miziki ya wavuta bangi wa kijamaica.by the way,,, is there dancehall music in Tzedi ama nyinyi ni tukimbizane niini Salome wangu music tu?
Actually Bongo Flava ndo kila kitu kwetu, tatizo lenu wakenya mko fake sana kwa kila kituby the way,,, is there dancehall music in Tzedi ama nyinyi ni tukimbizane niini Salome wangu music tu?
Hahaha haya mabanda ndio ufananishe na kariakoo? We jamaa kumbe mweupe tuKariakoo tunaijua vizuri sababu tuna nyingi hapa mitaaniView attachment 864522
nimeuliza tu. si kwa ubaya.endeleeni kutukuza miziki ya wavuta bangi wa kijamaica.
don't generalize. am a Metal fan. i don't do hip-hop or reggae/ragga/dancehall, bongobongo shitActually Bongo Flava ndo kila kitu kwetu, tatizo lenuwakenyamko fake sana kwa kila kitu
af mnatukuza sana Jamaican Rhythm
Tz wapo wachache wanafanya Dancehall ila sasa haina soko, 8 years back walikua akina Benjamin
ukipanda matatu zao, 80% ya miziki inayopigwa kwenye matatu ni miziki ya nje ya kenya nayo ni bongofleva na jamaican riddim.Actually Bongo Flava ndo kila kitu kwetu, tatizo lenu wakenya mko fake sana kwa kila kitu
af mnatukuza sana Jamaican Rhythm
Tz wapo wachache wanafanya Dancehall ila sasa haina soko, 8 years back walikua akina Benjamin