tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Okey kuna upanuzi wa Morogoro road unaendelea kuanzia kimara hadi kibaha itakua njia 6 Yaani tatu kwenda tatu kurudi ujenzi utakamilika june 2020 pia kutakua na fly over pale Kibamba mwisho kwenye njia ya kwenda Mloganzila!!
Ujenzi wa barabara ya Wazo -Madale-Goba-kutokea kimara unaendelea...
Ujenzi wa barabara ya Africana -salasala unaendelea. ..
Dec kutakua litakua ujenzi as BRT awamu ya pili 20km kutoka Gerezani hadi Mbagala na awamu ya tatu BRT kutoka gerezani hadi Gongolamboto...
Ujenzi wa ubungo interchange unaendelea utakamilika 2020...
Mradi wa DMDP unaendelea na ujenzi wa zaidi ya 200km madaraja na mitaro...
Kufikia 2020 JIJI is Dar litakua mbali sana kimiundombinu
Ujenzi wa barabara ya Wazo -Madale-Goba-kutokea kimara unaendelea...
Ujenzi wa barabara ya Africana -salasala unaendelea. ..
Dec kutakua litakua ujenzi as BRT awamu ya pili 20km kutoka Gerezani hadi Mbagala na awamu ya tatu BRT kutoka gerezani hadi Gongolamboto...
Ujenzi wa ubungo interchange unaendelea utakamilika 2020...
Mradi wa DMDP unaendelea na ujenzi wa zaidi ya 200km madaraja na mitaro...
Kufikia 2020 JIJI is Dar litakua mbali sana kimiundombinu


