COLLOH-MZII RELOADED
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 7,544
- 3,131
Tao ka eldoret na Nakuru inachapa arusha na unataka linganisha arusha na kisumu...hauna aibu bratheUjaribu kuandika kwa kijifikirisha Kidogo!!
Tanzania ndio inamiji mingi kuliko Kenya!!
Tanzania bara ina zaidi ya mikoa 22 na makao makuu yamikoa hiyo ni miji
Tuna kuruhusu
nenda kaanzishe Arusha Vs Kisumu
kisha Uone mziki wake
Ona jiji linavyo Pendeza!!Mimi sinaga wivu ka wewe sasa naeza umizwa na dar? Naeza umizwa na slum???? Aje sasa???
Nenda kaanzishe TutakujaTao ka eldoret na Nakuru inachapa arusha na unataka linganisha arusha na kisumu...hauna aibu brathe
Dar is slum..periodOna jiji linavyo Pendeza!!
Dar hii
hakuna slum
nenda katafute jina la Slum yeyote
Jana ulisema Mbagala
nikakuambia Mbagala unaijua!!
Hii ni Kijichi Mbagala
Unaweza linganisha na Kibera kweli hii
Narudia Tafuta Eneo lolote ndani ya Dar linaitwa slum
Huna say weweUmeishiwa pumuzi.
Ubishi wa niniMiji mbingi mbovu?? Ata kamjii ka Embu nilete picha hapa utatoroka msee
Hayo nimaneno yakitotoDar is slum..period
Ulikuja kwa mbwembwe sasa hivi umesinyaa na kuwa mdogo kama sisimizi. Wenzako walisema wanaenda Nairaland lakini wakaishia kurudi maana JF ni mtakuja.Tumeewachia hii ujinga yenu...tunaenda kisumu , Nakuru ,eldi ,meru,kakamega,kitale,nyeri,meru etc....slum yenu pelekeni kwa news ya tanzania
Maneno yamkosajiNo Kenyan to further comment on this crap....unless its Nairobi vs Johannesburg.
Miji mbingi mbovu?? Ata kamjii ka Embu nilete picha hapa utatoroka msee
Tao ka eldoret na Nakuru inachapa arusha na unataka linganisha arusha na kisumu...hauna aibu brathe
Dar is slum..period
Tumeewachia hii ujinga yenu...tunaenda kisumu , Nakuru ,eldi ,meru,kakamega,kitale,nyeri,meru etc....slum yenu pelekeni kwa news ya tanzania
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji23] [emoji23] [emoji23]No Kenyan to further comment on this crap....unless its Nairobi vs Johannesburg.
Pole sanaTumeewachia hii ujinga yenu...tunaenda kisumu , Nakuru ,eldi ,meru,kakamega,kitale,nyeri,meru etc....slum yenu pelekeni kwa news ya tanzania
Huyu analeta HadithUlikuja kwa mbwembwe sasa hivi umesinyaa na kuwa mdogo kama sisimizi. Wenzako walisema wanaenda Nairaland lakini wakaishia kurudi maana JF ni mtakuja.
ajaribu kutusi watu akione cha moto.Huyu analeta Hadith
Kazuiliwa kutukana ndio maana anabwabwaja
akitukana ni Ku block tu
Povuuuuuuuuuuuuu hehhehhhehheππππππTumeewachia hii ujinga yenu...tunaenda kisumu , Nakuru ,eldi ,meru,kakamega,kitale,nyeri,meru etc....slum yenu pelekeni kwa news ya tanzania
Unasemaje wewe hahahhahaa au povu bado linakutoka hahhahahaahahahaICHOO ameanza kujichocha huku..Niko hapa sema falai