Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

onesha 40floors na tuhesabu hapa😂😂😂 wachina washasimamisha ujenzi leo wiki ya pili sasa
Kuna thread ya hilo jengo, nadhani imefika na kama haijafika basi ni kwa sababu ya Mike Sonko kusimamisha jengo. Tuna magavana makaburu sana huku. Mtuombee.
 
C1OkrVkWQAEs-Wx.jpg:large
1dnbzNK.jpg
toka mwanzo mpaka mwisho unapost two river mall😂😂😂😂👆👆👆👆👆
 
Kuna thread ya hilo jengo, nadhani imefika na kama haijafika basi ni kwa sababu ya Mike Sonko kusimamisha jengo. Tuna magavana makaburu sana huku. Mtuombee.
kumbe unadhani huna uhakika😂😂😂😂 na habari ya kusimama ujenzi unazo wewe😂😂😂😂😂
 
Kuna thread ya hilo jengo, nadhani imefika na kama haijafika basi ni kwa sababu ya Mike Sonko kusimamisha jengo. Tuna magavana makaburu sana huku. Mtuombee.
mchawi mpe mwanao amlee😂😂😂
 
kumbe unadhani huna uhakika😂😂😂😂 na habari ya kusimama ujenzi unazo wewe😂😂😂😂😂
Niliona kwa T.V jamaa kavamia ujenzi na kupeleka wachina zaidi ya kumi kortini. Very soon jengo linaanza kujengwa tena, wewe endelea kukenua meno. Hapa kazi tu.
 
mall dar zipo nyingi tu zenye hadhi kubwa so usijipe matumaini kama mall hakuna na by the way mm kuna jambo nataka nikupe taarifa watanzania wengi wamezoea kununua fresh food from market ndio maana dar kuna market kubwa nyingi sana kuliko sehemu yoyote ukanda wa africa mashariki
Leta malls acha siasa mingi 😂😂😂
 
toka mwanzo mpaka mwisho unapost two river mall😂😂😂😂👆👆👆👆👆
nikianza kupost malls zingine mtachoka...zipo nyingi sana...moja hii imetosha
 
Sasa Magu kusema kweli ataenda US kutafuta nini You guys have zero to offer & to add you business environment is pathetic na nani alikudanganya Uhuru alienda kuomba US the reason why he went there is to crack military & Business deals with the US and to improve trade between Nairobi and Washington kwanza sahii KQ iko on its way to the New York - Nairobi direct flights! Hii inaonesha how ahead we are in business than you guys then mnaexpect kuipiku kenya

Sent using Jamii Forums mobile app
unakataa nini sasa Uhuru kaenda kuomba omba.... wakenya njaa kali
 
Back
Top Bottom