Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huyu anaezahata leta choo.
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
si uwongo
 
pesa ya kuwalisha wafungwa pia hakuna sasa hio budget iko wapi😂😂😂👇👇👇
 
kushindana na tanzania ni sawa na kukimbiza upepo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116]

ROVOS rail ni ya kisasa sana safari yake huanzia cape town na mwisho wake hua Dar es salaam...jamaa wanasafiri hadi siku 15 njiani kufika Dar na hufaidi sana mbuga kadhaa za hapa nyumbani na za nchi wanakopita
Wanapitia Botswana, zim, Zambia pale wanaunga na tazara hadi Dsm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ROVOS rail ni ya kisasa sana safari yake huanzia cape town na mwisho wake hua Dar es salaam...jamaa wanasafiri hadi siku 15 njiani kufika Dar na hufaidi sana mbuga kadhaa za hapa nyumbani na za nchi wanakopita
Wanapitia Botswana, zim, Zambia pale wanaunga na tazara hadi Dsm

Sent using Jamii Forums mobile app
na lengo lao ni kuja kwenye mbuga za tanzania na kwenda zanzibar
 
Back
Top Bottom