sevenup
JF-Expert Member
- Aug 17, 2018
- 2,548
- 2,448
Hahhahahaa.......nani?kwa hivo hata wewe hujui haya mamboKulingana na vitu wanavyomiliki, hata kama wengine wana hela ila hawapendi kununua vitu vya gharama, Mmewafunika. Sasa tunajua nani anaishi maisha na nani anasurvive maisha.
Wanasema screen ya simu ya mtu Au desk top ya Pc yako inaonyesha we ni mtu wa aina gani.
Kuna mtu simu yake ina app mbili mbili.
Sent using Jamii Forums mobile app
. Sasa tunajua nani anaishi maisha na nani anasurvive maisha.
