Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kulingana na vitu wanavyomiliki, hata kama wengine wana hela ila hawapendi kununua vitu vya gharama, Mmewafunika . Sasa tunajua nani anaishi maisha na nani anasurvive maisha.

Wanasema screen ya simu ya mtu Au desk top ya Pc yako inaonyesha we ni mtu wa aina gani.
Kuna mtu simu yake ina app mbili mbili .
Hahhahahaa.......nani?kwa hivo hata wewe hujui haya mambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bongolala yeyote akionyesha eneo kama hili kutoka hapo dar is slum nahama jf
14805094921_dca5f4d18b_b.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom