Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Please tell me this is not dar
View attachment 844582
dar.PNG
 
namuuliza swali ananionesha slum au floods sijamuelewa😂😂😂😂😂😂

maana nachoona ni picha za floods😅😅
Wow...what causes floods in many cases is lack of drainage,bad planning and poor roads workmanship...i thought you knew
 
Watanzania hasa WA dar majority ni wachafu sana ,hawajui ABC za usafi wa usafi wa mazingira hivyo ni ndoto jiji LA dar kuwa safi!
Pili ni kwambaa!!! Shughuli zisizo rasm ni nyingi mno mpaka sehemu zisizo stahili!!!!mtu anachoma mishikaki kwenye kituo cha daladala!!! Mtu anauza mahindi choma kituo cha mabasi!?? Mtu anaosha magari pasipo stahili kisa kaweka bendera ya ccm!!!
Tatuu!?? Mipango holela ya makazi ukusanyaji taka ni mgumu mno!!!
Kila mahali ni wamachinga !?? Umewahi kujiuliza wamachinga wa kariakoo na karume wote hutumia vyoo!??,Je!?? nani atadhubutu kuwondoa Wakati mkuu WA nchi alisema wasiguswe!?? Kwa kifupi usafi dar ni ndoto
aisee duh! hii sasa kali 😀
 
yakwenu yamewashinda sasa chuki zenu za kunyimwa bomba la mafuta na SGR zimechachamaa
Wakenya ni wajanja ujue Museveni akienda deal yenyu iko at risk and now the whole world wants him gone, we can not tolerate Dictators & Socialists in Africa! From Nairobi to London to New york to Joburg to Kampala to Lagos to Accra we say free boby wine & Museveni must go!
DlH5PBRWsAAjLOO.jpg
View attachment 844587
DlJk9jXWwAEQG0q.jpg
DlDrLjZWwAAX8XQ.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom