Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Suburbs za Dar zinafaa kuwa zinakufanya happy lakini naona povu linakutoka...kijitonyama hoyeee!
maxresdefault.jpg
Ichoboy..do you have any comment!
😂😂😂😂😂👇👇👇👇👇 kitu mubashara
watu wanaishi maisha nguruwe hawez kuishi
135C98A4-325B-40B8-835D-2DB51E3556B6.jpeg
DF8BB741-793B-47B2-AC44-1ED8920681C6.jpeg
DD5995B9-8148-440C-8AB7-3B1E07FFF284.jpeg
6BB1A317-0123-4EFA-B4B5-81730A96CD97.jpeg
 
dar udongo mwekundu😂😂😂 nilikwambia ndugu yako akileta ushahidi kua hapo ni dar nafunga account jamii forum leta link ya hio photo😅😅😅😅
Icho boy01...is it hard to accept a fact or is your DNA made of denial?...what evidence do you need to accept that what you are selling is made up of filth in some parts?..wow! i really feel for you sir.
 
yani nyie simalia inawatoa uharo alaf nyie muwape uhuru uhuru wenu wenyewe haujakaa sawasawa
Already tukiongea tunaicolonize, biashara ya makaa kwenye port la Mogadishu, Kenya ndio simba East Africa tukitaka tunachukua Tanzania Somali ni moja ya tribes za kenya kama hujui so is Somalia partof us

Somalis in Kenya are citizens and residents of
Kenya who are of Somali descent. They have historically inhabited the Northern Frontier District ( North Eastern Province ), which was carved out of the Jubaland region of present-day southern Somalia during the colonial period. Following the civil war in Somalia that broke out in 1991, many Somalis sought asylum in the Somali-inhabited enclaves of Kenya. An entrepreneurial community, they established themselves in the business sector, particularly in the Nairobi suburb of Eastleigh .
mogadishu-04-04-2018.jpg
View attachment 844607View attachment 844606
KDF-MD500.jpg
11-700x318.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Icho boy01...is it hard to accept a fact or is your DNA made of denial?...what evidence do you need to accept that what you are selling is made up of filth in some parts?..wow! i really feel for you sir.
hakuna sasa wewe endelea kuokota picha za google useme dar lakini siku ukinioneshA google earth neno slum in dar kama hiii nafunga account jamii forum😂😂👇👇👇
D1902226-6352-4AA2-9437-35640C3FC426.png
 
Already tukiongea tunaicolonize, biashara ya makaa kwenye port la Mogadishu, Kenya ndio simba East Africa tukitaka tunachukua Tanzania Somali ni moja ya tribes za kenya kama hujui so is Somalia partof us

Somalis in Kenya are citizens and residents of
Kenya who are of Somali descent. They have historically inhabited the Northern Frontier District ( North Eastern Province ), which was carved out of the Jubaland region of present-day southern Somalia during the colonial period. Following the civil war in Somalia that broke out in 1991, many Somalis sought asylum in the Somali-inhabited enclaves of Kenya. An entrepreneurial community, they established themselves in the business sector, particularly in the Nairobi suburb of Eastleigh .View attachment 844605View attachment 844607View attachment 844606View attachment 844608View attachment 844609

Sent using Jamii Forums mobile app
uhuru wenu wenyewe haujakaa vzr hakuna security je hio somalia akili kumkichwa😂😂😂👆👆👆👆👆
 
Hii battle imeanza kubore sasa,
Kila siku same same pics plus majibizano.
Kama hakuna kitu new ni heri ifungwe.
 
😂😂😂😂😂👇👇👇👇👇 kitu mubashara
watu wanaishi maisha nguruwe hawez kuishi
View attachment 844598View attachment 844599View attachment 844600View attachment 844601
Kibera upgrading.PNG

And this forum acknowledge the fact that Kibera is a slum,what you are not telling the people is that the government is doing something about it!...now can you tell us what your gov is doing about the slum menace in Dar-es-salaam
 
Back
Top Bottom