Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwani wewe ni nani hapa? You are just a regular forumer like the rest. Hii self importance hua mnajipa hapa ni UJINGA tuu.


Una cheo gani humu JF?

You're NOTHING. JUST another tanzagizan behind a screen. JITOMBE
Punguza hasira, kuzaliwa ktk nchi mbovu sio kosa lako, isiwe sababu ya kujenga chuki dhidi ya watu waliozaliwa katika nchi ya maziwa na asali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
UNHabita ni mzungu?. HQ yake ipo hapo Nairobi, kwa miaka mingi imekua chini ya Prof. Tibaijuka ambaye ni mtanzania, acha kuvuruga mada lete list ya slums duniani as per UNHabitat. Kwenye rank ziliposema Kenya is in the group of middle class economy hamkusema hao ni wazungu, wakisema Kenya inaongoza kwa Slums duniani unawaita wazungu na kuwashambulia, nor wonder Kenya is a failed state

Sent using Jamii Forums mobile app

Nani alikataa Kenya hakuna slums? You too sound stupid. Kenya tunazo slums tena NYINGI. Tunazingatia waTZ wenzako kusema hamna slums.

Nyani enyewe haoni kundule, wahenga hawakukosea.

Informal settlements kwa kiswahili ni?
IMG_20180806_091355.jpg
 
Low self-esteem people. Classic case of inferiority complex indeed.


READ TO UNDERSTAND
IMG_20180809_160757_373.jpg
IMG_20180809_160815_589.jpg
IMG_20180809_160839_948.jpg
 
Nani alikataa Kenya hakuna slums? You too sound stupid. Kenya tunazo slums tena NYINGI. Tunazingatia waTZ wenzako kusema hamna slums.

Nyani enyewe haoni kundule, wahenga hawakukosea.

Informal settlements kwa kiswahili ni? View attachment 842332
Tumekuambia uthibitishe kwamba Tanzania kuna slums kwa kutuwekea data za UNHabitat ambao ndio yenye jukumu la kusema na kutangaza slums za dunia. Kukiwa na mkurupuko (outbreak) wa Ebola WHO ndio yenye jukumu la kutanga, UNHabitat ndio yenye jukumu la kutangaza slums sio vinginevyo, tafadhali lete data Zach UNHabitat ukishindwa basi ujue hakuna slums Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumekuambia uthibitishe kwamba Tanzania kuna slums kwa kutuwekea data za UNHabitat ambao ndio yenye jukumu la kusema na kutangaza slums za dunia. Kukiwa na mkurupuko (outbreak) wa Ebola WHO ndio yenye jukumu la kutanga, UNHabitat ndio yenye jukumu la kutangaza slums sio vinginevyo, tafadhali lete data Zach UNHabitat ukishindwa basi ujue hakuna slums Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
na hatopata mpaka yesu ashuke😂😂😂
ataishia google kuokota slum za nigeria na congo na kusema dar😝😝😝
 
MF momasa port earns 50 billion monthly...6 billion usd yearly and we are able to pay our loans...Tanzania is on HiPC list because they dont have the capacity to pay their loans
Huo ni uongo, T F logically False. Hiyo ni ya mwaka sio mwezi.
 
That means per year gives you $6B, while tourism is a leading sector for income generation beside tax collection, last year you got $1.2B from tourism.

Try to do your homework first before you empty your mouth.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa hajui maana ya annual income na monthly income. Hajui government finincial year inaisha lini na kitaalamu ina ripotiwa vipi. Hawa jamaa wana maisha ya maigizo kama huwajui unaweza waogopa kumbe bure kabisa.
 
rafiki zangu wakenya na watz, naomba tuweke kando tofauti zetu kwa mda, tuungane kwa pamoja kuunga mkono harakati za waganda katika kumtaka rais museveni kumuachilia huru mwanasiasa na mwanamziki bob wine.

tuungie twitter na kuandika chochote kuhusu hili. binafsi tayari nimeshafanya hivyo.

tusipuuze kwa kudhani "ati hayatuhusu". leo bobwine, kesho wewe, mimi au ndugu yako wa karibu. tukumbuke watawala wa kiafrika wana tabia ya kuigana.

napenda sana maendeleo but honestly speaking sipendi utawala wa kidikteta ambao unaiyemelea tz chini ys magufuli.
 
MF momasa port earns 50 billion monthly...6 billion usd yearly and we are able to pay our loans...Tanzania is on HiPC list because they dont have the capacity to pay their loans
leta link kua mombasa port ina earn 50b per month nasubiria😂😂😂👆👆👆👆
 
Back
Top Bottom