Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

safi kabisa ngoja nikutaftie post ndugu yako alipost iko mombasa kumbe baada ya kuzidiwa alihamisha magoli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wapi yenu?
IMG_20180818_093506_454.jpg
 
By the way this is the stupidest forum ever they need to benchmark on high class forums such as Skyscraper city, Nairaland etc....yani hii forum iko down tu sana to an extent hakuna foreighners except few kenyans![emoji23] [emoji23] [emoji23] yani hata waganda na Warwanda hawako hii forum![emoji23] [emoji23] [emoji23] endeni kubench mark kenyan forums for instance niraland, kuna Nigerians huko,Ugandans,Tanzanians, Ghanaians, Rwandans & even others are from abroad in some Kenyan Forums juzi USA ime feature Nairobi city kwa Snapchat nyinyi hata mjulikani mko dunia gani. Lakini ukija jamii forum[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] vutuko na threads za kiajabu ajabu. Alafu nimegundua watanzania ni watu horny sana yani daily mtu awezi kosa thread ya ngwati kwa hii forum![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] no wonder mnazaana kama mapanya nyinyi!
hii forum iliundwa kwa ajili ya wabongo tu,na ndo maana lugha inayotumika ni kiswahili kwa asilimia 90,hao waganda,baadhi yenu wakenya,wanyarwanda,wanigeria hawawezi kukaa humu,hata nyie wakenya hatuwahitaji unaweza kusepa tu!!
 
anhaaa i got you! i thought that,the man decided to cut off his name,then he gave it to a nation from Kenyatta (Kenya/tta),kwa sababu yule mzee alikuwa mtu wa kujimilikisha kumiliki ardhi imbayo ingetosha wakenya milioni 20!!dah sio mchezo!! but i was wrong...
Akili za bongolala tuu. Ila huyu kakiri he was wrong [emoji23][emoji1490]
 
Back
Top Bottom