Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Naa uko serious hahahahaha. Hizi ni servants quarters man
View attachment 837286
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
93E0EA2D-DCBA-4373-BBFF-7CC025CC7F13.jpeg
AD72A493-B99E-4FDD-8D0F-ECE874561439.jpeg
BB231E3D-8A3F-44EC-BDFB-11A0008E3A8D.jpeg
 
wakenya huu mwaka sio wakucheza na sehemu yoyote tanzania huu mwaka mulitakiwa kuwa wapole kabisa kama munanyolewa ili mujifunze na kujua mengi yaliyofanyika ndani ya miaka 12 tanzania
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
9F14FFB2-847E-4657-89D1-B981BFCACE16.jpeg
 
Ushamba ndo inakusumbua buda.watu ka nyinyi are the reason for poor quality threads...
By the way this is the stupidest forum ever they need to benchmark on high class forums such as Skyscraper city, Nairaland etc....yani hii forum iko down tu sana to an extent hakuna foreighners except few kenyans! yani hata waganda na Warwanda hawako hii forum! endeni kubench mark kenyan forums for instance niraland, kuna Nigerians huko,Ugandans,Tanzanians, Ghanaians, Rwandans & even others are from abroad in some Kenyan Forums juzi USA ime feature Nairobi city kwa Snapchat nyinyi hata mjulikani mko dunia gani. Lakini ukija jamii forum vutuko na threads za kiajabu ajabu. Alafu nimegundua watanzania ni watu horny sana yani daily mtu awezi kosa thread ya ngwati kwa hii forum! no wonder mnazaana kama mapanya nyinyi!
 
karibu forum...kule huwa tunasema bora uhai...nina miaka mengi ya kujiinua...wewe jizee kuukuu unayeanza kumea cabbage kwenye makwapa upo mitandaoni unabishana na watoto
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
zinaitwa goals au lanes my friend...we are on different lanes
emoji23.png
emoji23.png
kumbuka miaka kumi tu uanze kuvalisha napi
emoji23.png
emoji23.png
use this senior age well comrade
Ama hata hatafikisha hizo kumi tupostiwe hapa RIP kadoda usijali lakini, mazishi tutafika, kigoma sio mbali, tutakuja na Amref hadi kigoma international
 
huyo hamna chochote ndugu
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
huyo watchman tu
emoji23.png
emoji23.png
tunatambua Mandela, Kwame Nkrumah
na kadhalika...huyo pengine umweke kwenye listi ya machokoraa wenzako
emoji23.png
emoji23.png
Nyerere ndio mkokoteni ya kuelekea wapi? Tunatambua Kenyatta $ Haile Sillasie hapa East Africa Comrades wa nguvu East Africa hizo enzy!
 
Back
Top Bottom