Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nyeri, Kenya
IMG_20180818_102910.jpg
 
mumeona mkenya aliechanganyikiwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa ameanza kuokota picha za nchi za watu na kusema nyeri[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]
[emoji23][emoji23] lamba lolo

Kenya sio nchi ya kutupwa kama yenu
 
[emoji23][emoji23] lamba lolo

Kenya sio nchi ya kutupwa kama yenu
warudishie wenye nayo picha yao unazidi kujiaibisha maji shingoni sasa munaanza kuiba picha za watu😂😂😂😂

mugabe hakukosea 😂😂👆👆👆👆
 
Barcelona

Ila nyinyi watoto sana, washamba sana lazima niwaumize kimawazo. Ona jinsi ndugu yako kalia kule juu [emoji23][emoji23]

FREE COMEDY
ulijaribu kujidanganya nafsi yako au sio😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Sasa ii ni nini 😂😂😂
hio ni kwamba hatuwezi kujenga international airport mbili sehemu moja ndio maana 50km utakutana na kIA na arusha town utakuna na airport ndogo kwa ajili ya light ya aircrafts wapi hukuelewa 😂😂😂
 
hio ni kwamba hatuwezi kujenga international airport mbili sehemu moja ndio maana 50km utakutana na kIA na arusha town utakuna na airport ndogo kwa ajili ya light ya aircrafts wapi hukuelewa 😂😂😂
Na ya Mwanza 😂😂😂
 
hio ni kwamba hatuwezi kujenga international airport mbili sehemu moja ndio maana 50km utakutana na kIA na arusha town utakuna na airport ndogo kwa ajili ya light ya aircrafts wapi hukuelewa 😂😂😂
Nauliza kama hiyo ni airstrip ama cow shade 😂😂😂
 
Back
Top Bottom