Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

barabara kama hzo inamaana design yenu na yetu ni sawa au hvi kwann hua munakosa exposure yani vp tufanane kwenye barabara sisi tunajenga barabara kutoka na sehemu husika kulingana na design
Stop hitting around the bush na Ukubali ukweli kwa kusema Hamna! najua ukweli ni uchungu lakini asiyekubali kushindwa sio mshindani. nikama upimwe upatikane na Ukimwi na bado unapingana
 
kachezee miaka yote lakini sio miaka hii utaumia sana budaa
Then you are in for a rude shock! Nairobi is a very different City compared to dar & its development structure speaks for itself! By the time 5 years zinaisha, Mtakuwa mlishajisemea wenyewe kuwa mko nyuma na kuanza kutupongeza sisi hatuna haraka, Nairobians say Time will tell! Mombasa by 2023 ndio mtapimana nguvu nayo, Nairobi City County ni % lit
 
umeniambia kutoka nairobi kwenda nakuru ni 2 hrs sasa mm nimekwambia kutoka kilimanjaro international airport kwenda arusha ni 50km lakini arusha kuna airport tena for light aircraft vp leo ww unaniambia nakuru hakuna haja ya airport
unaona ulivojichanganya leo

huwezi kutumia neno hakuna umuhimu kua na airport, umuhimu upo tu tena sana tumia maneno yakusema hamujajipanga kujenga au hamuna pesa ya kujenga kwa sasa hvi
sio unaongea non sense
Heh bro ni kiingereza hulewi tukutafutie translator?? ama nini?? Sema tukudaidie kama mabrathe
 
Kilimani district
43337651571_90f84b109f_o.jpg
5cae4e7d5d20edc0f9d598b925d78dd7.jpg
Kilimani%201.jpg
40432bd75ae90ff0ecbb765044848a9d.jpg
39658680785_93705bb7ab_b.jpg
36700370823_28cc6421df_b.jpg
DN9wdcaXcAAe_iG.jpg
27764499386_d24a06c5ed_b.jpg
e946a8def3f6dd2a17f61b456951b324.jpg
42554941894_a34291451a_o.jpg
32858587_441653496261796_3271389470246567936_n.jpg
 

Attachments

  • 36700370823_28cc6421df_b.jpg
    36700370823_28cc6421df_b.jpg
    119.2 KB · Views: 23
umerudi na hasira matumaini hayo yatafutwa karibuni tanzania iko ndani ya ujenzi wa reli ya kisasa zaidi africa ya umeme so we kaa mkao wa kula kisu kiko pale pale mwaka huu hakuna sehemu mutatoka

alaf mall sio kitu muhimu sana kwa tanzania hio ufahamu maana usije kufkiri tanzania may b inatilia mkazi sana malll umekosea

tallest buulding + mnara yani nusu jengo nusu mnara so kwenye mnara kuna floor ngapi

hakuna mji usiokua na barabara my friend hayo mawazo machafu toa kila nchi inajenga barabara kulingana na design na sehemu yenyewe so usijipe matumaini kuna nyie ndio wenye barabara, pole sana

bandari ya mombasa sasa imeanza kuonja joto la jiwe toka kwa bandari ya dar na huku huge expansion ikiendelea kumbuka tunakula sahani moja na baada ya upanuzi kukamilika ndio mutamuelewa magufuli nia yake

Check out @hallaboutafrica’s Tweet:


>USD450million monthly revenue. Yenu JE?
 
jibu swali umekosa ultra modern hospital kisiii we punda alaf tuendeleee

jifunze kufanya mijadala yenye akili uliomba mall nikakushushia kichapo nikakuomba ultra modern hospital ukakimbia sasa unarudi huna jibu we jibu kama huna tuendelee
give me the aerial view period!..
 
Stop hitting around the bush na Ukubali ukweli kwa kusema Hamna! najua ukweli ni uchungu lakini asiyekubali kushindwa sio mshindani. nikama upimwe upatikane na Ukimwi na bado unapingana
unaposema barabara kila sehemu ya tanzania kuna barabara sasa unaposema modern unamaanisha nn hebu tuelezee hapo😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom