Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hapa ata hakuna kubishana.....Nairobi is the winner..kina icho na tuusan nikelele za vuvuzela 2...wanajua nai imewin
 
haha kumbe ushamuelewa. akibanwa kona mbaya kazi yake ni kuruka ruka tu
leo nakufa kucheka apa...jamaa anatoa project za 15 floors kule skyscrapercity alafu ansema ni 20.ameleta za 12 akasema ni 21 akaleta za 15 tena akasema ni 21...nmeshinda kumcorrect mpaka nmechoka.
 
NAIROBI
ResizedImage600600-x19.jpg
ResizedImage600600-000.jpg
ResizedImage600600-x16.jpg
ResizedImage600600-x6.jpg
ResizedImage600600-x5.jpg
ResizedImage600600-x3.jpg
ResizedImage600600-x1.jpg
 
Hapa ata hakuna kubishana.....Nairobi is the winner..kina icho na tuusan nikelele za vuvuzela 2...wanajua nai imewin
Hahahahhaha kachemka ndugu yako hahhahaha hataki kurudi aahhahaa nimemuekea misumari kaingia mitini sasa nimemwambia kama kashindwa over 20 twende below napo nimpe misumari hahhaahhahahah hatoki mtu humuuuuuu
 
Hahahahhaha kachemka ndugu yako hahhahaha hataki kurudi aahhahaa nimemuekea misumari kaingia mitini sasa nimemwambia kama kashindwa over 20 twende below napo nimpe misumari hahhaahhahahah hatoki mtu humuuuuuu
umeharibu kila kitu....sasa ndio nmezidi kuwakosea maana.yani unaforce kitu iko wazi....kweli dar ya 2017 ii..hahaaa
 
Nimemuuliza kambalanick hio picha ya tatu ni wapi hataki kunijibu ahahhhahahahhaha au ndo mushaanza tena hahahhahahahah😀😀😀😀😀😀😀
Screenshot_2017-04-09-23-12-49.png
 
Hapa ata hakuna kubishana.....Nairobi is the winner..kina icho na tuusan nikelele za vuvuzela 2...wanajua nai imewin
We pimbi kaa mbali na mm...kwanza hujielewi sijui umetokea wapi. ..
unajifanya unajua wakati huna unachojua!umekuja juzi tu hapa unataka kujifanya unajua
Bloody fool
 
Hahahahhaha kachemka ndugu yako hahhahaha hataki kurudi aahhahaa nimemuekea misumari kaingia mitini sasa nimemwambia kama kashindwa over 20 twende below napo nimpe misumari hahhaahhahahah hatoki mtu humuuuuuu
oona sasa. kila mtu anajua unabamizwa mpaka umefanya kengeza waona 12 kuwa 21 na 15 kuwa 51. hahahaha
 
Nakudanganya au hutaki hehehehhhehe kazi unayo nakwambia hahhahahahhahahahh
nmekuekea mpaka prove vile unatudanganya apa
IMG_6082.jpg

tanzan
Serengeti



Join Date: Apr 2010
Location: Dar es Salaam
Posts: 3,862
Likes (Received): 1751


Quote:
Originally Posted by bantugbro
@Kiligoland,
What is the floor count of this baby??
15 storey
 
Back
Top Bottom