Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

how will you upgrade it wakati reli bado inaendesha hasara na bado ni deni kubwa sana huenda likachukua miaka zaidi ya 50 kulipa deni hilo, waswahili husema maji ukiyavulia nguo sharti uyaoge lazima mkubali reli hio mliingizwa chaka na wachina, na bado wao ndio wameishikilia kwenye kila kitu mpaka employments,

sisi tunajenga mambo sambamba kwanza tunajenga modern electric train in africa using our funds mpaka sasa hvi na pia tunajenga source of energy ikiwemo biggest dam in east africa na pia kuna gas energy kinyerezi 3 inaendelea na ujenzi so kwenye swala la umeme lisikupe shida kabisa๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž

kumbe tulikua wajanja kuchukua pipeline ya uganda ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ si hio tu sasa tunajenga gas pipeline from dar to kampala hio weka akilini, sasa hio lokichar pipeline iko wapi au bado iko kwenye makaratasi
Endeleeni kufunikwa macho, aty LDC inajitegemea 100% hii yenyu ni kali
Magufuli says Tanzania will continue borrowing despite high debt concerns
pic%2Bmagufuli.jpg
 
how will you upgrade it wakati reli bado inaendesha hasara na bado ni deni kubwa sana huenda likachukua miaka zaidi ya 50 kulipa deni hilo, waswahili husema maji ukiyavulia nguo sharti uyaoge lazima mkubali reli hio mliingizwa chaka na wachina, na bado wao ndio wameishikilia kwenye kila kitu mpaka employments,

sisi tunajenga mambo sambamba kwanza tunajenga modern electric train in africa using our funds mpaka sasa hvi na pia tunajenga source of energy ikiwemo biggest dam in east africa na pia kuna gas energy kinyerezi 3 inaendelea na ujenzi so kwenye swala la umeme lisikupe shida kabisa๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž

kumbe tulikua wajanja kuchukua pipeline ya uganda ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ si hio tu sasa tunajenga gas pipeline from dar to kampala hio weka akilini, sasa hio lokichar pipeline iko wapi au bado iko kwenye makaratasi
we have a strategy my friend, Sio tuta! ni tuna as we wait for Lamu you guys assume aty because mnaprojects sisi tume lala mtaumia kweli
Tullow to resume transportation of crude oil to Mombasa from Aug 22
AUGUST 13, 2018 BY KENNEDY KANGETHE
During the pilot period, 2,000 barrels of oil per day are being transported to Mombasa by road from Turkana and stored at the Kenya Petroleum Refinery facility in Changamwe, Mombasa.
NAIROBI, Kenya, Aug 13 โ€“ Mining Cabinet Secretary John Munyes says oil transportation from Lokichar will resume on August 22, 2018, following a deal to resolve insecurity and jobs issues in Turkana between stakeholders and oil and gas explorer, Tullow Oil.
This is after Tullow oil resumed its oil and gas development activities in Turkana County after 45 days with the stalemate costing about Sh400 million.
Munyes says the resumption follows extensive consultations with Ministry of Interior, host community representatives, Turkana leadership, National Government and Tullow Kenya.
oil-pipeline.jpg
paipu.jpg
pipeline.jpg
Screenshot_20180815-143127.jpg
 
we have a strategy my friend, Sio tuta! ni tuna as we wait for Lamu you guys assume aty because mnaprojects sisi tume lala mtaumia kweli
Tullow to resume transportation of crude oil to Mombasa from Aug 22
AUGUST 13, 2018 BY KENNEDY KANGETHE
During the pilot period, 2,000 barrels of oil per day are being transported to Mombasa by road from Turkana and stored at the Kenya Petroleum Refinery facility in Changamwe, Mombasa.
NAIROBI, Kenya, Aug 13 โ€“ Mining Cabinet Secretary John Munyes says oil transportation from Lokichar will resume on August 22, 2018, following a deal to resolve insecurity and jobs issues in Turkana between stakeholders and oil and gas explorer, Tullow Oil.
This is after Tullow oil resumed its oil and gas development activities in Turkana County after 45 days with the stalemate costing about Sh400 million.
Munyes says the resumption follows extensive consultations with Ministry of Interior, host community representatives, Turkana leadership, National Government and Tullow Kenya.View attachment 836723View attachment 836725View attachment 836726View attachment 836727
nioneshe pipeline yenu nyie inayojengwa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘†๐Ÿ‘†๐Ÿ‘†๐Ÿ‘‡

au unafkiri sijui hzo pic umeokota google au nikuaibishe๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ‘†
 
how will you upgrade it wakati reli bado inaendesha hasara na bado ni deni kubwa sana huenda likachukua miaka zaidi ya 50 kulipa deni hilo, waswahili husema maji ukiyavulia nguo sharti uyaoge lazima mkubali reli hio mliingizwa chaka na wachina, na bado wao ndio wameishikilia kwenye kila kitu mpaka employments,

sisi tunajenga mambo sambamba kwanza tunajenga modern electric train in africa using our funds mpaka sasa hvi na pia tunajenga source of energy ikiwemo biggest dam in east africa na pia kuna gas energy kinyerezi 3 inaendelea na ujenzi so kwenye swala la umeme lisikupe shida kabisa๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž

kumbe tulikua wajanja kuchukua pipeline ya uganda ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ si hio tu sasa tunajenga gas pipeline from dar to kampala hio weka akilini, sasa hio lokichar pipeline iko wapi au bado iko kwenye makaratasi
Hapo hakuna ujanja already as we speak there is an. existing pipeline between Kenya & UG hii yenye mlichukua ingekuwa ya pili but due to pitty, Uganda iliona wacha waballance trade yao since wamekuwa wakitegemea kenya pekee for many years so meaning hio line ingepitia kenya, sahii tungekuwa na three different pipelines which could have made us an African black gold Giant! Yani tungekuwa ligi ya Libya! But mkasaidia Uganda na kugawana 10% ya hio advantage na sasa 90% bado tuko nayo. . .why??
1. We produce
2. Store
3. Transport
4. Refine
5. & Export our own Oil


*We are the only country in this part of Africa who does that Tz ni Mabrocker wa UG alafu mnajidanganya na Bagamoyo hio mafuta ya wenyewe mtaanza exportation 10-20 years to come & before muanze Uganda itachoka na delay irudie kenya as expected
 
Hapo hakuna ujanja already as we speak there is an. existing pipeline between Kenya & UG hii yenye mlichukua ingekuwa ya pili but due to pitty, Uganda iliona wacha waballance trade yao since wamekuwa wakitegemea kenya pekee for many years so meaning hio line ingepitia kenya, sahii tungekuwa na three different pipelines which could have made us an African black gold Giant! Yani tungekuwa ligi ya Libya! But mkasaidia Uganda na kugawana 10% ya hio advantage na sasa 90% bado tuko nayo. . .why??
1. We produce
2. Store
3. Transport
4. Refine
5. & Export our own Oil


*We are the only country in this part of Africa who does that Tz ni Mabrocker wa UG alafu mnajidanganya na Bagamoyo hio mafuta ya wenyewe mtaanza exportation 10-20 years to come & before muanze Uganda itachoka na delay irudie kenya as expected
dua la kuku halimpati mwewe my friend by 2020 pipeline itakua tayar na mafuta yataanza kupita kwenda bandar ya tanga๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

alafu nioneshe oil refinery company in kenya nasubiria hapa๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜

mzungu anachukua crude oil anapeleka kwao alaf anairudisha kuwauzia ikiwa refined tayari kwa pesa kubwa
 
Back
Top Bottom