Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

HII Miraa ndio imefanya tu mgolombi twa vijana wa kikenya kua tepetepe kama matambala ya kupigia deki, matokeo yake mabinti wa kikenya wanawapenda machalii wa bongo
Nyinyi kishikilia uchumi kwenu ni NGONO tuu. Tahadhari, UKIMWI hauna tiba
 
Nyinyi 60% of your population ni kulima ili mjilishe. Yaani SUBSISTENCE farming.

Kenya system ni CASH CROP farming. Tujilishe na pia tupate pesa. LANES
75% watnzania ni wakulima ndio maana tunaweza kuilisha east and central africa kwa chakula😂😂😂😂
 
Safi kabisa na kizuri wachezaji wetu huwa wanamuonekano wakistar siyo mikenya yaani unakuta mchezaji mchezaji amekaa kama kibaka ama chokoraa
 
75% watnzania ni wakulima ndio maana tunaweza kuilisha east and central africa kwa chakula
Ndo maana mutazidi kuwa our farm...while we develop in various sectora we know we can always rely on food from tanzania cos they need our money while they feed us tutajenge nchi yetu na nguvu
 
Ndo maana mutazidi kuwa our farm...while we develop in various sectora we know we can always rely on food from tanzania cos they need our money while they feed us tutajenge nchi yetu na nguvu
hvi wewe kuna sector gani ambayo sasa hvi munaisumbua tanzania hebu zungumza hapa kama tourism tumeshalaza, ukija growing economy tumeshawalaza, ukija telecommunication tanzania hamuiwezi, na sasa hvi kwenye uchukuzi munapumulia mashine😂😂👆👆👆👆
 
masikini GDP
RIP kenya budget😂😂👇👇 sasa wanatafuta pesa kwa nguvu

 
Ndo maana mutazidi kuwa our farm...while we develop in various sectora we know we can always rely on food from tanzania cos they need our money while they feed us tutajenge nchi yetu na nguvu
mutazidi wapi wewe ng'ombe???unajua sifa ya nchi kuimalika kiuchumi no moja ni kujitosheleza kwa chakula!.kama chakula hakitoshi matumizi ya ndani ni kosa kumbwa sana.jisisfie kuuza au kugawa chakula sio kununua.
 
mutazidi wapi wewe ng'ombe???unajua sifa ya nchi kuimalika kiuchumi no moja ni kujitosheleza kwa chakula!.kama chakula hakitoshi matumizi ya ndani ni kosa kumbwa sana.jisisfie kuuza au kugawa chakula sio kununua.
kwan hata huo uwezo wa kununua wanao😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom