Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Avic tunaongelea 43 floots! na 30flrs ka mbili hivi that will clearly hold your toungues before tuwape K.O (Pinnacle) alafu tuongezee misumari kwa kaburi na (88 $ Montave) tuone mtapigia nani manduru hapa
montave na pinnacle😂😂😂👆👆👆👆
naomba endelea kutuonesha renders
 
That is pure propaganda infact the greatest lie told so as to benefit greedy people....aty kibera ni 2.5m people and yet Embakasi ni 901,000 according to census hio esabu haingiani bana
hupendi ukweli 😂😂😂👆👆 mumezoea uongo ndio maana munadanganya BRT iko kwenu
 
manyangau sasa tutakula nayo sahani moja, hatutayaacha yapumue, walizoea vya bure sana, tulihangaika sana kuwakomboa waafrika wenzetu wa kusini wakati wakenya wakiungana na makaburu, sasa mambo mazuri wantaka wafanye biashara kirahisirahisi tu, tunahangaika kulinda wanayama, kuotesha miti kulinda theluji ya mlima kilimanjaro wao wanawadanganya watalii kwa kusema mlima kilimanjaro, serengeti na ngorongoro vipo kwao,
Ni wapuuzi sana kwa sasa wameshapotea
 
Mombasaaaaa
Dongo-Kundu-bypass1.jpg

Slum of Dar
5909f1b22ad34265711382.jpg
 
such things are normal huku...
it is not just a live, it's a live coming from our state house covering the business meeting between president JPM with ugandan president yoweri museveni.

moja kati ya agenda kuu iliyojadiliwa ni kuzuia sukari ya magendo toka kenya inayovuka kupitia mpaka wa sirali.
 
Back
Top Bottom