Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Usijifanye hujui Dar sluum kubali usaidike...the first step to healing ni kukubali hali yako sio kuwa in denial na hasira za mkizi.
we hali yako umeikubali? unapost slums za dar na huku zenu ni 'WORST' in Africa. Mi naona unatafuta ushinde na mimi sina makuu, chukua ushindi kama unataka lakini huo ni utoto tu, ukikua utagundua
 
Google earth
mzungu sio mjinga
View attachment 828213
This is part of Eastlands..kwa mahustlers....guys here are richer and live in better conditiond than "middle class tanzanians in DREAM houses"
Screenshot_2018-08-01-12-30-09~2.jpg
Screenshot_2018-08-01-12-27-40~2.jpg
Screenshot_2018-08-01-12-28-41~2.jpg
PicsArt_08-01-12.33.37.jpg
 
Usijifanye hujui Dar sluum kubali usaidike...the first step to healing ni kukubali hali yako sio kuwa in denial na hasira za mkizi.
akubali sehemu isiokua dar yani uokote picha za google nchi za watu useme dar alaf akubali 😂😂😂😂👆👆👆👆👆
 
Na ndio sababu mtazidi kubaki nyuma. I hope umeitizama hio video. Mko chini kama NONSENSE.

Tumia google ujielemishe kuhusu Urban Planning
That wont be necessary, Hali ya Wataz naijua vizuri sana maana nipo Tz na niko out of town nimeenda Mwanza. The last time I was here ni 7 years ago but now nimekuwa shocked by jinsi middle class ilivyoongezeka. Mchana nitajaribu kupiga picha za mtaa ninaokaa then nitapost uone jinsi watanzania wanavyozidi kuimarika kimaisha
 
No sina presha ila ninakukosoa tu wa kile ulichosema, eti "tumeshindwa na nini? na nani? punguza presha" halafu chini yake umepost countries with most poor people. Huu ni ulimbukeni, yaani uko determined to step on us wakati we are both on that list perhaps labda msingekuwepo ndio ningekubaliana na wewe
We are giving you a dose of your own medicine. Nyie ndio wenye hii tabia. Mkitukanyaga mlikua mnafikiria nini? Sasa hivi mkishindwa you are trying to play victims. Ole wenu.

Nyie ni classic case of "Maskini akipata tajiri atajuta"
 
Hiyo video wameingalia wakaanza kuyumba yumba yani siri zao zimewekwa wazi...I am telling you we are taking over this thread...I think its time to even close it ama tungoje pinnacle imalizike tuwanyamazishe forever?
Imewapa taabu sana. Yaani hawawezi kubali kijiji chao 80% is unplanned, crowded and filled with informal settlements.

Dawa yao bado. Walikataa kufunga huu thread. Watakuja kukubali tuu. Tulia utacheki
 
we hali yako umeikubali? unapost slums za dar na huku zenu ni 'WORST' in Africa. Mi naona unatafuta ushinde na mimi sina makuu, chukua ushindi kama unataka lakini huo ni utoto tu, ukikua utagundua
Mimi nakubali tuko na slums je wewe unakubali Dar 90% ni slum?
akubali sehemu isiokua dar yani uokote picha za google nchi za watu useme dar alaf akubali 😂😂😂😂👆👆👆👆👆
Dar inajulikana babaa inajikaa tu.
 
We are giving you a dose of your own medicine. Nyie ndio wenye hii tabia. Mkitukanyaga mlikua mnafikiria nini? Sasa hivi mkishindwa you are trying to play victims. Ole wenu.

Nyie ni classic case of "Maskini akipata tajiri atajuta"
Hahahaa you are funny man, Eti a dose of our own medicine? dude mi sina maisha ya kijinga kama unavyodhani and so do most Tanzanians. Hapa nchini kuna fursa nyingi sana compared to your country. Rafiki yangu hivi anaventure yake ambayo ameanza kuajiri watu sasa kwenye job application pool w\ya wakenya ndo imejaza yaani huko hali ji ngumu kiasi kwamba huku mnaona nafuu
 
That wont be necessary, Hali ya Wataz naijua vizuri sana maana nipo Tz na niko out of town nimeenda Mwanza. The last time I was here ni 7 years ago but now nimekuwa shocked by jinsi middle class ilivyoongezeka. Mchana nitajaribu kupiga picha za mtaa ninaokaa then nitapost uone jinsi watanzania wanavyozidi kuimarika kimaisha
Hii ni NONSENSE na POROJO. Hakuna anayetaka kujua. We are talking about URBAN PLANNING
 
Back
Top Bottom