Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

But you keep forgetting that it is spoken widely in tanzania,kenya,uganda, Drc,rwanda and some parts of somalia...so kuwa mpole buda..si tz pekee
tanzania ndio chimbuko na ndio lugha inayoongelewa zaidi kuliko kokote duniani kwanza jua hvo inatosha😂😂😂
 
njaa ni tatizo na sukari pia jaman😂😂
wapi mumekosea wakenya👇👇👇

 
Mbona iniume? ... Give me one example of gay instance in Mombasa, maybe you know what I don't know.
Bro Izo story hazina umuhimu,nionyeshe 5*hotel apo kisumu plz nimeona ukisema kisumu inazidi Arusha
 
But you keep forgetting that it is spoken widely in tanzania,kenya,uganda, Drc,rwanda and some parts of somalia...so kuwa mpole buda..si tz pekee
hivi kwa akili yako unadhani huko Uganda,Rwanda,somalia,Kenya,DRC...kiswahili kinatumika kama kinavyotumika tz???mbona nyie mnapenda kubishana na vitu viko wazi??
ukizungunzia kiswahili unazungumzia bongo,ni nyinyi watumwa kifikra ndo mnaotuangusha..!!
 
You are the only Tanzanian who speaks polished english and i am sure clearly you did not study in Tanzania
pamoja na ww kuhisi hayo bado sijawah kuona kitu cha maana uliichoandika humu kwa kutumia icho kingereza unachohisi unakifahamu kinagaubaga!!
 
hivi kwa akili yako unadhani huko Uganda,Rwanda,somalia,Kenya,DRC...kiswahili kinatumika kama kinavyotumika tz???mbona nyie mnapenda kubishana na vitu viko wazi??
ukizungunzia kiswahili unazungumzia bongo,ni nyinyi watumwa kifikra ndo mnaotuangusha..!!
Haha wooi
 
last night
DjdSoH5XcAA-_vF.jpg
Classic car
 
Back
Top Bottom