Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

If you studied in UON you should be proud
Kama unafaidisha jumuiya inayokuzunguka sawa lakin kama uko home na vyeti kazi huna unakua proud na nn?sasa unaenda UoN kusoma vitu vya kijinga afu uwe proud bado...huo muda bora ungeanzisha banda la mpesa
 
Kama unafaidisha jumuiya inayokuzunguka sawa lakin kama uko home na vyeti kazi huna unakua proud na nn?sasa unaenda UoN kusoma vitu vya kijinga afu uwe proud bado...huo muda bora ungeanzisha banda la mpesa
40% unemployment rate in kenya hebu angalia foreigners hao waliokua wanafanya kazi bila permit achilia mbali wenye permit na waeke mbali 5000 chinnese workers kwenye SGR
😂😂😂😂😂😂😂😂

 
40% unemployment rate in kenya hebu angalia foreigners hao waliokua wanafanya kazi bila permit achilia mbali wenye permit na waeke mbali 5000 chinnese workers kwenye SGR


Niliona mkenya ana degree ya electrical eng amekaa na bango anaomba kazi kwenye Ile park yenye free Wi-Fi nilimuonea huruma kiasi,yani mtu amepambana na akina kirchoff ,avogadros, Newton hadi amemaliza chuo na bado michongo Hamna
 
DjXkYlgW0AAhfpp.jpg
First congratulations to all Kenyans for Nairobi University being ranked the fifth among many Universities in Africa.

But I doubt with your education system you have that can not even think on eliminating hunger from many starving Kenya fool of tribalism.
 
serengeti national park is 14,750 km square while masai mara is 1,510 km square.

pls acheni kufananisha serengeti na upuuzi.ukubwa wa serengeti national park ni zaidi ya ukubwa wa county za kenya.

hapo bado sijazungumzia scenery nzuri za kutazama wanyama.

bado sijazungumzia aina mbalimbali za viumbe wanaopatikana ndani yake ambao huwezi kuwapata masai mara au sehemu yoyote duniani.
Utauwa mtu msamehe huyo chokoraa wakikenya
 
Kama unafaidisha jumuiya inayokuzunguka sawa lakin kama uko home na vyeti kazi huna unakua proud na nn?sasa unaenda UoN kusoma vitu vya kijinga afu uwe proud bado...huo muda bora ungeanzisha banda la mpesa
Huyo ana degree ya urembo..
Achana naye

Maana vyuo vyao kuna vijicourse vyaajabu ajabu hadi degree za ubeki tatu wanazo
 
Back
Top Bottom