hawa jamaa hawajielewikwani ni yakwenu??? mumenunua cash???
hahahahaha ndege sio ya kwenu heheh alaf munataka musherekee nyie kweli vilaza😀😀😀😀
hamujawahi kununua ndege nyinyi...!!usitake kutuongopea hapaa..Hiyo ujinga ya kusifu marais ni ya madikteta. Ufala ya hali ya juu. Then hata tukinunua ndege hatuwezi smamisha nchi for one week kuilaunch.
hiki kibuyu unakirudia mara 50 sasa..nairobi kuna ghorofa kumi tu halafu ndo ishindane na dar..!!This is just an ordinary building with no special features(hight, Floors) kwanini mnashinda mkipost ama mliskia Nairobi hakujengwiView attachment 819473