we do have,but you have nothing!!...leased aircrafts...Hahahaha mabombadier manze na ka dreamliner kamoja
tuna-celebrate kwa sababu ni ndege yetu,tumenunua kwa pesa yetu,kutoka kwenye mifuko yetu!!Hiyo ndege ingekua nchi flani hapa east Africa, nchi ingesimama for one week wakijiandaa kulaunch. Magu Chuma kusifiwa for one month