Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndio maana nakueleza wacha kuamini porojo. In Kenya the tribe yenye wamesambaa Kenya yote kwa ajili hawana mashamba kwao ni wakikuyu., akifa anazikwa kwa municipal cemetery ya mji anakoishi. This is the reason wako industrious na wakakamavu kwa biashara kwa sababu anajua nyumbani hana chake, lazima atie bidii kufa kupona, hii ndio sababu yq wao kujituma ni kama wasomali wa Kenya, North eastern ni desert, na walitengwa na serikali kwa muda mrefu, but wenye wamesambaa katika miji mbali mbali wako poa biashara, wanajituma kinyama! necessity is the mother of invention. Na pia kuna other few squatters. All other tribes have ancestral land, watu huenda mjini kutafuta, wengine wanaishi kwa slums in order to save and develop nyumbani., Not all slum dwellers are poor, haujaelewa Kenya kabisa!, what you have is internet news, which you quote out of context and without understanding. Hakuna mjaluo wa Kibera hana kwao nyumbani. Wakikuyu tu na watu wachache wa pwani.
uhahhaha nonsense ever heheh yani maneno mengi sana kumbe kichwani umejaza ubuyu😀😀😀😀
so ww pia unajiita mtanzania 😛
 
Another Idi amin in the making..soon hata kutema mate itakuwa hatuaView attachment 810590
magufuli chuma kiboko ya wakenya 😀😀😀 kawashkisha adabu mpaka sasa hamuna amani
ona wenzako huko nakuru😛😛😛😛
9721EE8C-04D2-47D5-AB23-A72C5E16703E.jpeg
 
If yourv trully beem to kenyan....youl notice the difference of a City from a town....Kisumu is large..with a far much stronger economy...someone who has travelled will not shy away from saying the truth..av been to Abuja and Dar .i must admit Abuja is much modern city than Nairobi hands down but dar hapana...as you slowly drive away from the crammed cbd by the shoreline...the rest becomea 3rd world...so stop living in an illusion na utravel unless your those broke tanzanians with inflated egos
The funny thing is wakenya wote wamefika dar
 
uhahhaha nonsense ever heheh yani maneno mengi sana kumbe kichwani umejaza ubuyu😀😀😀😀
so ww pia unajiita mtanzania 😛
Nonsense kivipi? wewe hauwezi kubali ukweli kuhusu Kenya., lako ni kufikiria Kenya watu wanaumia, propaganda za CCM toka nyakati za Nyerere, wakijibizana na Jomo Kenyatta., watanzania wamefanywa kuamini wakenya ni wabaya, wajanja na raiya hawana mashamba!! pole sana!, mkenya akienda Tanzania shughuli za kibinafsi raiya wa kawaida na pia polisi wanamshuku sana, wengi hunyanyaswa sana!, my cousin aliwekwa kizimbani, polish walimshika kwa atm akitoa pesa wakamsingizia alitaka kuiba benki!!, ni Raila Odinga alipiga simu kijana na rafikiye akaachiliwa, the father was an mp kwa party ya Raila (ODM)., mtanzania alitembea Kenya ama kuishi hakuna mtu huwa na shughuli naye., ata kama ako na kibali ama hana, he can't be bothered. Nyie you have a wrong and misconstrued perception ya Kenya kabisaa!., Your government's inability to perform and serve its people inafunika uchi through propaganda and controlled media, na kuonyesha Kenya iko na shida hata kuliko Tanzania ili kupumbaza raiya.
Mko na tabu sana, ldc, extreme poverty, na bado hatujaongeza the relative poor populace!.,
 
Ata nishajua whats the problem...hawa watu hawana kitu kwa bongo.....all they do is praise daimond na wanaume kupenda udaku....nawahurumia akiView attachment 810559
Hao ni ambao wanajua kusoma na kuhesabu...utastaajabu usidhan ni waliofika university! !
Humu jf kuna watu uwezo wa kupangua hoja ni mdogo sana na wanadegree za kajamba nani university 254
 
China is after their own interests, haijali ni nani anatawala, they have a 'non-interference' policy on matters internal politics.
I don't hate CCM per se, wako na mazuri and African pride, kulingana na historia, shida ni wale walio katika serikali kwa sasa wanakandamiza raiya na kunyamazisha divergent views. That has a negative impact on development in a long-term basis.
Festo ulienda shule!!
Uko na sawa
 
Nonsense kivipi? wewe hauwezi kubali ukweli kuhusu Kenya., lako ni kufikiria Kenya watu wanaumia, propaganda za CCM toka nyakati za Nyerere, wakijibizana na Jomo Kenyatta., watanzania wamefanywa kuamini wakenya ni wabaya, wajanja na raiya hawana mashamba!! pole sana!, mkenya akienda Tanzania shughuli za kibinafsi raiya wa kawaida na pia polisi wanamshuku sana, wengi hunyanyaswa sana!, my cousin aliwekwa kizimbani, polish walimshika kwa atm akitoa pesa wakamsingizia alitaka kuiba benki!!, ni Raila Odinga alipiga simu kijana na rafikiye akaachiliwa, the father was an mp kwa party ya Raila (ODM)., mtanzania alitembea Kenya ama kuishi hakuna mtu huwa na shughuli naye., ata kama ako na kibali ama hana, he can't be bothered. Nyie you have a wrong and misconstrued perception ya Kenya kabisaa!., Your government's inability to perform and serve its people inafunika uchi through propaganda and controlled media, na kuonyesha Kenya iko na shida hata kuliko Tanzania ili kupumbaza raiya.
Mko na tabu sana, ldc, extreme poverty, na bado hatujaongeza the relative poor populace!.,
ahahahah chuki zako dhidi ya CCM hazitakusaidia wala hazitabadilisha tabia ya nchi CCM itakuwepo na itatawala utake usitake upende usipende maana huna maelezo yoyote yenye maana zaidi ya chuki zako binafsi dhidi ya CCM😀😀😀

ukitaka maelezo below poverty line husika hapa
8417E158-64E4-46D0-8435-79282B513B1C.jpeg
872209C3-2BA1-4F7E-8EDD-315F3AC0E57B.jpeg
 
yani obama pia kuleta familia yake tanzania na sio kenya pia imeleta balaa😀😀😀 roho zinawatoka

Kwa hapo lazima iwaume, kumbuka Kuna yule maasai alinuia kumuoa bintiye Obama nadhani hapendagi ujinga asee. Sasa kaamua kwenda mwenyewe.
 
inamaana kuna zingine nyingi ila mnazificha. Dar sio lazima ufike kwani si nyie wote mmefika Mombasa....dar vs mombasa
Nikipanga kuja kenya siwez enda mombasa..nataka nije kwenye Ile mgahawa unagirrafe pale
 
ahahahah chuki zako dhidi ya CCM hazitakusaidia wala hazitabadilisha tabia ya nchi CCM itakuwepo na itatawala utake usitake upende usipende maana huna maelezo yoyote yenye maana zaidi ya chuki zako binafsi dhidi ya CCM😀😀😀
Tanzanians' mentality on Kenya and Kenyans is informed by mere propaganda, including CCM's over the years!. Nahurumia innocent raiya. Very gullible.
 
Tanzanians' mentality on Kenya and Kenyans is informed by mere propaganda, including CCM's over the years!. Nahurumia innocent raiya. Very gullible.
uhahahhaha leo CCM inakutoa kamasi maana hoja zako zote ni chuki dhidi ya CCM nothing else😀😀😀


jubilee tano tena 😛😛😛😛
A3A71CF4-002D-4BCF-B356-DC99DB138F51.jpeg
 
Back
Top Bottom