Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Haya umepeana theory, kuja ground you see. 2.7% unemployment rate cannot have 19 million people on extreme poverty, ama wanatoa huduma bure kwa nchi? hapa nitaelewa. The functioning of GOK services speaks a lot. I know Tanzania, raiya masginani wanalalamika sana kwa hali duni., si makosa mko ldc., inabainika wazi. Kenya ina many limitations and setbacks, but stop forcing your Tanzanian erroneous mentality about Kenya to be gospel truth., cherry picking news and isolated pictures out of context to prove a point. Your debate mechanism is unethical and subjective. Blind patriotism.
below poverty line hio nimekupa
go on dremaing😀😀😀😀😀
704F28C7-9DFA-4D67-8313-F6DB113C7F47.jpeg
2FA74E01-D843-4809-874C-080B0BCAB230.jpeg
 
Haya umepeana theory, kuja ground you see. 2.7% unemployment rate cannot have 19 million people on extreme poverty, ama wanatoa huduma bure kwa nchi? hapa nitaelewa. The functioning of GOK services speaks a lot. I know Tanzania, raiya masginani wanalalamika sana kwa hali duni., si makosa mko ldc., inabainika wazi. Kenya ina many limitations and setbacks, but stop forcing your Tanzanian erroneous mentality about Kenya to be gospel truth., cherry picking news and isolated pictures out of context to prove a point. Your debate mechanism is unethical and subjective. Blind patriotism.
hio CCM unayoichukia ww ndio wachina wanaiheshimu kwa heshma zote, chuki zitakuuwa😀😀😀

 
Haya umepeana theory, kuja ground you see. 2.7% unemployment rate cannot have 19 million people on extreme poverty, ama wanatoa huduma bure kwa nchi? hapa nitaelewa. The functioning of GOK services speaks a lot. I know Tanzania, raiya masginani wanalalamika sana kwa hali duni., si makosa mko ldc., inabainika wazi. Kenya ina many limitations and setbacks, but stop forcing your Tanzanian erroneous mentality about Kenya to be gospel truth., cherry picking news and isolated pictures out of context to prove a point. Your debate mechanism is unethical and subjective. Blind patriotism.
wenye hasira na CCM😀😀😀😀😀

 
hio CCM unayoichukia ww ndio wachina wanaiheshimu kwa heshma zote, chuki zitakuuwa😀😀😀

China is after their own interests, haijali ni nani anatawala, they have a 'non-interference' policy on matters internal politics.
I don't hate CCM per se, wako na mazuri and African pride, kulingana na historia, shida ni wale walio katika serikali kwa sasa wanakandamiza raiya na kunyamazisha divergent views. That has a negative impact on development in a long-term basis.
 
wameanza kilio sasa😀😀😀
yani obama kukaa tanzania siku 8 akitalii imewauma sana wakat kenya anakaa siku 2 hehheeh wameanza kutoa mapovu sasa😛😛😛😛😛 hawataki hata kusema alikaa tanzania
 
China is after their own interests, haijali ni nani anatawala, they have a 'non-interference' policy on matters internal politics.
I don't hate CCM per se, wako na mazuri and African pride, kulingana na historia, shida ni wale walio katika serikali kwa sasa wanakandamiza raiya na kunyamazisha divergent views. That has a negative impact on development in a long-term basis.
uhahahha kasome history of ccm and china ndio utajua nazungumza nn 😀😀😀😀😀 CCM itadumu mpaka yesu ashuke utake usitake nyie pambaneni na kenyatta alieshika robo ya ardhi yote kenya nzima akisema ni yake
 
uhahahha kasome history of ccm and china ndio utajua nazungumza nn 😀😀😀😀😀 CCM itaduku mpaka yesu ashuke utake usitake nyie pambaneni na kenyatta alieshika robo ya ardhi yote kenya nzima akisema ni yake
Haijalishi, ni raiya wataamua.
 
tatizo lako ww liko kwa CCM 😀😀😀😀 unanichekesha sana
tanzania inakua kwa 7.2%
kenya inakua kwa 4.4% tena hapo economy mumeipika mpaka imeungua alaf leo munachekelea debt to GDP ratio kufika 60% na kuna mmoja wa uchumi wenu alisema kenya inakopa pesa for consumption and not development yani leo serekali ya kenya haina hata senti ya kujenga barabara zaidi ya kukopa pesa kwa mchina hehhehe leo nimestaajabu kuskia SGR imeajiri wachina 5000 hao wakenya wako wapi???😀😀😀 alaf munajinafi munao wasomi hehehhe
mm hua munanishangaza sana naposkia kenya unemployment rate is 40% 😱😱😱

wazee wa tano tena😛😛
ni balaa sana hawa manyang'au
 
amua ww mkenya hehehe 😀😀😀😀
acheni kenyatta aitawale kenya na mutabaki vinana hamuna ajira wala ndoto ya kua na ardhi mpaka yesu ashuke

View attachment 810578
Ndio maana nakueleza wacha kuamini porojo. In Kenya the tribe yenye wamesambaa Kenya yote kwa ajili hawana mashamba kwao ni wakikuyu., akifa anazikwa kwa municipal cemetery ya mji anakoishi. This is the reason wako industrious na wakakamavu kwa biashara kwa sababu anajua nyumbani hana chake, lazima atie bidii kufa kupona, hii ndio sababu yq wao kujituma ni kama wasomali wa Kenya, North eastern ni desert, na walitengwa na serikali kwa muda mrefu, but wenye wamesambaa katika miji mbali mbali wako poa biashara, wanajituma kinyama! necessity is the mother of invention. Na pia kuna other few squatters. All other tribes have ancestral land, watu huenda mjini kutafuta, wengine wanaishi kwa slums in order to save and develop nyumbani., Not all slum dwellers are poor, haujaelewa Kenya kabisa!, what you have is internet news, which you quote out of context and without understanding. Hakuna mjaluo wa Kibera hana kwao nyumbani. Wakikuyu tu na watu wachache wa pwani.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Another Idi amin in the making..soon hata kutema mate itakuwa hatua
Screenshot_2018-07-16-12-09-50.jpg
 
Back
Top Bottom