Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

wow nakuru iko dope......our four main cities now have got world class roads for real............kisii pia kuna bonge la barabara inapikwa kupikwa........it will rub shoulders with the big boys.......Eldoret our fifth city is also upgrading its roads.
It will run all the way to Migori. Four lanes if am not wrong, 65km long!
 
but unemployment rate is 2.7% while kenya 40%
below poverty line tanzania 22% kenya is 43%
inflation in tanzania is below 3% while kenya is over 9 tp 10%
debt to GDP ratio kenya is 60% while tanzania is 32%
Ukweli ulibainika in 2018 report ya poverty index. Tanzania ina watu maskini sana in East and Southern Africa!!, Propaganda ya CCM imepanguliwa! Kwenye budget, less hazitoshi mahitaji ya nchi, lazima wakope, za kujenga sgr(pesa yetu porojo) mnatoa wapi?
Tanzania ni aibu tu, Dar bado, picha zinazunguka eneo moja different angles, ukipanua ni aibu tupu.
 
Ukweli ulibainika in 2018 report ya poverty index. Tanzania ina watu maskini sana in East and Southern Africa!!, Propaganda ya CCM imepanguliwa! Kwenye budget, less hazitoshi mahitaji ya nchi, lazima wakope, za kujenga sgr(pesa yetu porojo) mnatoa wapi?
Tanzania ni aibu tu, Dar bado, picha zinazunguka eneo moja different angles, ukipanua ni aibu tupu.
Lack of exposure inakusumbua. Tembea uone kijana. Umasikini wa kenya ni wa kutupwa.
Halafu ulivyo mpumbavu unadhani unaongea na watoto hapa!! Leta reference ya utafiti huo. Ukishindwa kuleta basi wewe ni mpumbavu.
 
Lack of exposure inakusumbua. Tembea uone kijana. Umasikini wa kenya ni wa kutupwa.
Halafu ulivyo mpumbavu unadhani unaongea na watoto hapa!! Leta reference ya utafiti huo. Ukishindwa kuleta basi wewe ni mpumbavu.
 
Ukweli ulibainika in 2018 report ya poverty index. Tanzania ina watu maskini sana in East and Southern Africa!!, Propaganda ya CCM imepanguliwa! Kwenye budget, less hazitoshi mahitaji ya nchi, lazima wakope, za kujenga sgr(pesa yetu porojo) mnatoa wapi?
Tanzania ni aibu tu, Dar bado, picha zinazunguka eneo moja different angles, ukipanua ni aibu tupu.

They don't want to hear that those cabbage heads...
 
Lack of exposure inakusumbua. Tembea uone kijana. Umasikini wa kenya ni wa kutupwa.
Halafu ulivyo mpumbavu unadhani unaongea na watoto hapa!! Leta reference ya utafiti huo. Ukishindwa kuleta basi wewe ni mpumbavu.
Wacha hiyo blind patriotism yako, report was posted in Kenyan news forum, mkasema Tanzania iko na population kubwa, Kenya is more kwa percentage, hesabu ikafanywa, ikabainika Tanzania people living in extreme poverty ni 32%, Kenya 29%, you are the poorest in EAC na pia SADC, wacha kijufanya haukusoma hiyo report!!
 
Lack of exposure inakusumbua. Tembea uone kijana. Umasikini wa kenya ni wa kutupwa.
Halafu ulivyo mpumbavu unadhani unaongea na watoto hapa!! Leta reference ya utafiti huo. Ukishindwa kuleta basi wewe ni mpumbavu.


You think we've never been to Tanzania......vijijini nyumba ni za udongo tu.....permanent house ni miujiza........
 
Wacha hiyo blind patriotism yako, report was posted in Kenyan news forum, mkasema Tanzania iko na population kubwa, Kenya is more kwa percentage, hesabu ikafanywa, ikabainika Tanzania people living in extreme poverty ni 32%, Kenya 29%, you are the poorest in EAC na pia SADC, wacha kijufanya haukusoma hiyo report!!



fellow Kenyans once you visit Tanzania you will thank God for being Kenyan......hiyo nchi yao wanayosifia hamna lolote....miji Yao hata haziendelei.......eewww
 
Back
Top Bottom