Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

tuje kushangaa slums kama wazungu wanavokuja kuona maajabu saba ha dunia yanayopatikana kiberaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Povu ikijaa mdomoni waTZ wataanza kuongelea Kibera. [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Utaambiwa mara ngapi Kibera ni a very small percentage of Nairobi ndio maana iko congested na ni slum

Tunazo slums nyingi sana Kenya, hautushtui na list utakazo leta budaaaa!

Pambaneni na Hali yenu
 
khakha leo unakataa kibera hahha the biggest and worse slum in the world πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

ukitaka ushahidi sema
 
na hapo ukumbuke 10yrs of developments yani barabara zimejengwa hatari 175,162km of paved road na bado sijakuekea road zilizo underconstruction sasa hvi hehehπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Juu Kenya imekua ikilala? My friend Kenya hata kuwe na misukosuko ama shida za serikali jua lazima kuna taratibu. Vitu havisimami. Kenya kuna intellectuals ambao huwa wanaMap out roadpath to the future

WaKenya watu hatari sana. Watu ambao on average ni very clever kuliko the average African/tanzanian
 
Kuondoka nikienda wapi? Niko hapa na sibanduki ng'o!

Nilikuambia nitakuvumilia mpaka mwisho. Get ready. I'm just warming up

Hatari! Umeme! DANGER!! [emoji88][emoji88]
duuh we kweli ni mkenya sugu............umekomaa hutaki kutoka[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]

JF ni ze best for east africa na africa....your welcome again kid
 
Baas! Hapa sasa ndio uzuri wa Kenya. Tutaziunda kisha tuziuze kwa nchi kama TZ kisha wale walioziunda waboreshe maisha yao na in turn kupunguza further the poverty levels. WaKenya watu hatari sana
poverty level kwa kenya kupungua ni ndoto za alinacha......

mpambane sana ngojeeni ajira ili muajiriwe
 
khakha leo unakataa kibera hahha the biggest and worse slum in the world πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

ukitaka ushahidi sema
Kiswahili lugha yenu lakini kukisoma ngumu kama mawe.

SLUMS TUNAZO NYINGI TENA SANA ila hazitudhuru jinsi zinavyodhuru waTZ

FOCUS! Unasema toll road.. Toll road gani kama 92% of the country's road network is UNPAVED and SUSCEPTIBLE TO HEAVY RAINFALL

Usiringie wakenya.. Hizi ni vitu za kawaida ambazo tumekubali na tunasonga mbele na maisha.

WaKenya watu wenye akili. Watu wa kuona mbele. Watu wa ajabu
 
munachonga body hahah kila kitu kinatoka nje πŸ˜€πŸ˜€ziko kampuni zinachonga body ya mabasi tanzania usifkiri hakuna alaf unaleta hii kituπŸ˜›πŸ˜ŽπŸ˜›
team haina hata banda la ofisi miaka 50
View attachment 802499
[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115]
huo si usafiri wa migugo iweje wakenya wanakuwa wandawazimu kiasi hiki[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
sawa mzee ojwani umeeleweka
 
Tulia man tuliza kichwa, kila uchao barabara zinajengwa ,hakuna ofisi Tz inayotegemea mkenya ili ijiendeshe that means Tunajitegemea kama taifa...kama wakenya mnaakili that's okey ningeshtuka ungesema Hamna akili...
 
leo jamaa yako kila akigusa pamotoπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Eeeeh leo kumoto mkuu. Na bado

I'm going to deconstruct any notion that's evidently stupid and holds no water.

WaKenya hatari! Umeme!! DANGER!!! [emoji88][emoji88]
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] eti wakenya wanaishutumu serikali yao kama watu wanaiba .....!!!
je nikwanini mnaongoza kwa corruption..?..au corruption kwenu ni haki ya kila raia?...

kweli kenya mnashtumu sana serikali yenu punde inapofanya wizi[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
duuh we kweli ni mkenya sugu............umekomaa hutaki kutoka[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]

JF ni ze best for east africa na africa....your welcome again kid
Ni vizuri kuelimisha watu wenye akili ndogo kupindukia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…