Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

wewe sikiliza mziki mzuri achana na kiswahili cha diamond, after all hakuna mkenya anayeweza kuelewa kiswahili cha diamond platnumz. his kiswahili ili classic.

kuna siku nikiwa kwa matatu zenyu hapo nairobi, nikasikia "despacito" ya luis fonsi
ikipigwa kwa matatu.unataka kuniambia majority ya wakenya wanaelewa spanish?.
hawana akili
 
TPC sugar factory moshi tanzania
93172823-9E00-4688-93BF-4D8F73AC5728.jpeg
 
The three blue buildings
Yani Dar ukipiga picha from any angle lashima camera ishike those three blue buildings. Alafu ona vile hiyo sehemu huyo jamaa amesimama ilivorust yet it's only a walking distance from those towers meaning haiko mbali na cbd
 
Yani Dar ukipiga picha from any angle lashima camera ishike those three blue buildings. Alafu ona vile hiyo sehemu huyo jamaa amesimama ilivorust yet it's only a walking distance from those towers meaning haiko mbali na cbd

Ni kwasababu majengo hayo ni marefu kulinganisha na mengine na pia yako pembezoni mwa fukwe, hata kama yangekuwa Nairobi yangeonekana kwenye kila picha.
 
Hahaha....yani tanga ni city. Tanga hata kwa kisii ni ndogo sana. Yani kule tz kila town ni city

aisee nilicheka sana kusikia ati Tanga nalo pia ni jiji

Tanga ilikuwa planned kuwa jiji la viwanda toka enzi za wajerumani na viwanda vingi vilikuja kufa wakati wa ubinafsishaji. Ukiangalia jinsi Tanga ilivyopangwa huwezi kuamini na watu wakianza kubadilisha nyumba zao kuwa maghorofa kama walivyofanya kariakoo utashangaa.
 
Back
Top Bottom