Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ukiona kila kitu kinakuja TZ ujue mambo yanaeda vizuri.
 
Kushinda jamii forum na kushinda kuongea maneno yasio na msingi won't change a thing about Dar, a glorified fishing village surrounded by slums. Kulinganisha Nairobi na Dar ni kama kulinganisha giza na mwangaza; hakuna siku zitawahi kutana. Ask anyone which is the most important city in this region and they will tell you Nairobi. Yani kitu chochote cha maana ikikuja EA inatua kwanza Nairobi ndo inaanza safari ya kwendu shithole citiea like Dar. Jengeni jiji lenu badala ya kushinda humu mkipiga domo. Comparing Nairobi with craps like Dar is a downgrade on Nairobi
Wewe dar itakuua kwa mfadhaiko.

Yaani the way unaitaja Mara tatu tatu katika post moja,inaonyesha mzimu wake unakuandama.
 
kwa mara ya kwanza umekua mkweli!! I noticed and respect that!
ukweli wa nn??? ikiwa ukweli huutaki unategemea kupata uongo na tatizo hili la kujiona mumekua kama europe litawaathiri mpaka mwisho wa dunia😀😀😀😀
 
nilichogundua wakenya huwa wanakaa vijiweni halafu wanaongopeana wenyewe kwa wenyewe hasa wakenya wa jamiiforums,wanaishi korogocho,hawajawahi kwenda city yoyote nje ya Nairobi,
eti Nairobi inapambana na jo'burg!!hahaaahaa bwana mdogo anafurahisha sana..Mara ooohh Kigali sijui nini??
anafanabisha nairobi na casablanca wao wenzao wanatumia electric bullet train wakenya wanatumia train zilitumika 50s alaf wanataka washindane😀😀😀 nimecheka sana
 
IMG_1527179833.895095.jpg
IMG_1527179845.903379.jpg
IMG_1527179857.568248.jpg



Sent using Jamii Forums mobile app
 
18+ - Dear Kenyans, I really need to a marry a Kenyan. Anyone ready to settle?
 
Back
Top Bottom