NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,386
- 17,968
Umeambiwa Hakuna Mnara Kilaza weweOnly 140m high.😀😀😀
..........huoni kama sawa.....
Bus stage ya msamvu Morogoro inazidi iyo airportHivi mtu aliye na akili timamu anaweza fananisha Kenyan airports na Tanzanian airports? Wacha niwape majibu.
Isiolo Airport
![]()
![]()
![]()
Bus stage ya msamvu Morogoro inazidi iyo airport
Hahaha tuliza ball kijana![]()
![]()
watu wa bus stage![]()
![]()
![]()
emergency landing na ukuta![]()
Piga Kelele kenya hakuna Zaidi ya Airport 4
sawa nimetuliza...lakini tuletee angalau BRT au majengo au airport...sio bus stage bana unajiaibishaHahaha tuliza ball kijana
nanyi mna vibanda karibia 20 mnaziita airportPiga Kelele kenya hakuna Zaidi ya Airport 4
Zingine ni Uchwara
Hahaha basi umeshinda mm sitii nenosawa nimetuliza...lakini tuletee angalau BRT au majengo au airport...sio bus stage bana unajiaibisha![]()
usiwe kama akina mwarab ambaye anaweza kushangilia hata pit latrine iliozinduliwa kule kigoma![]()
![]()
![]()
Wacha ujingasawa nimetuliza...lakini tuletee angalau BRT au majengo au airport...sio bus stage bana unajiaibisha![]()
usiwe kama akina mwarab ambaye anaweza kushangilia hata pit latrine iliozinduliwa kule kigoma![]()
![]()
![]()
Vibanda vya Nguruwe Vinapatikana Kenya pekeenanyi mna vibanda karibia 20 mnaziita airport![]()
vibanda ambavyo hata nguruwe hawezi kukubali kuishi....mnapaka rangi juu ya mabati kisha mnaita airport![]()
![]()
picha ninazo by the way![]()
Wacha ujinga
Stand za Bus muhim sana
Asilimia kubwa ya Watanzania & Wakenya hutumia Usafiri wa barabara
Ni aibu mji kama Nairobi haina Stand ya mabasi
ni muhimu sana nakubali ila sio jambo la kushangilia shangilia hapa kana kwamba imewafanya mkawa developed country...mfano, vyoo na lifti ni muhimu pia ila atakaye kuja hapa kusherehekea lifti atakuwa ni punguani...eti stendi za basiWacha ujinga
Stand za Bus muhim sana
Asilimia kubwa ya Watanzania & Wakenya hutumia Usafiri wa barabara
Ni aibu mji kama Nairobi haina Stand ya mabasi
umesahau hivyo vibanda milvyopaka rangi pale juu mkaandika welcome kigoma airport welcome tabora airportVibanda vya Nguruwe Vinapatikana Kenya pekee
Wacha kujisahaulisha
Kinaongelewa kingine unaleta kingineni muhimu sana nakubali ila sio jambo la kushangilia shangilia hapa kana kwamba imewafanya mkawa developed country...mfano, vyoo na lifti ni muhimu pia ila atakaye kuja hapa kusherehekea lifti atakuwa ni punguani
sasa wewe unashrehekea stendi ya basi si ndio utakuwa kilaza nambari mojaKinaongelewa kingine unaleta kingine
Sasa hivi Humu Jf kuna Wakenya Vilaza tu
KUNAYO But ni ya Militaryso huyo alieandika ni kilaza sawa maana nimecheka sana 😀😀😀 maana nimeona mpaka nakuru airport wakat nakuru hakuna airport aisee
View attachment 770082 View attachment 770083 View attachment 770084
Kigoma Au Taboraumesahau hivyo vibanda milvyopaka rangi pale juu mkaandika welcome kigoma airport welcome tabora airport![]()
welcome mwanza airport![]()
![]()
nazungumzia vibanda hivyo![]()