Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

asanteni wakenya kwa kumpa pesa za kutosha alikiba kuzileta nyumban 😀😀😀😀😀

F995C68B-D80B-46EF-967B-F467E9ECC90B.jpeg
 
DMDP DAR-ES-SALAAM TANZANIA
The Dar es Salaam Metropolitan Development Project for Tanzania is to improve urban services and institutional capacity in the Dar es Salaam metropolitan area, and to facilitate potential emergency response. The project comprises of four components. The priority roads - local and feeder roads in the urban core to alleviate congestion hotspots, and support public transit, mobility, and connectivity...

Source : Millard Ayo
 
Nyie washago msiojuwa photogrammetry... taswira hiyo ya picha ya Dar inaonekana hivyo kwasababu ya 'complexity'.

Kamera za wakati huu hazina uwezo wa kuchukua 'much detail information' ya pixels zote za picha ambazo zinaweza kuwa na ukubwa wa nth factorial.

Kwasababu ya uwezo huo mdogo wa kamera taarifa nyingi za taswira (pixels) huachwa na unachoambulia ni gibberish data, kwa ushamba 'wenyu' mnaita disorganized.

GettyImages-500759045_super.jpg


Hapo juu ni Paris, sasa mlivyo wehu mtasema nyuma upande wa kulia mwa picha kuna slums kwasababu picha haitoi much detail.
wachane
 
Sasa hili nahilo lenyu "mordern and biggest in eastafrica"tofauti iko wapi ispokuwa sisi hatusifii letu?
Hiyo tent unaweza sifia.?? Mwizi akija na wembe anaweza iba kilakitu. Turubali kweli ?? Hilo hata nguruwe awezi ishi. Tutawakuta wote nje. Miguna Miguna aliitaji kuwa na wembe tu kutoloka kwenye hiyo terminal.
Haipingiki kuwa yakwetu ni most modern in East Africa.
Show me any terminal with a Travelator in East Africa !
 
Azam ni tv ya mtanzania so sijui unaongelea nini wewe zuzu

aisee wakati naangalia harusi ya alikiba,nimeona mitaa ya mombasa,kule ameenda kuchukua mkewe.

my friend sikupenda kucheka,but it really pain ni kubovu.kuchafu.embu shemeji yetu aje aishi uzunguni huku ajaze shavu.
 
aisee wakati naangalia harusi ya alikiba,nimeona mitaa ya mombasa,kule ameenda kuchukua mkewe.

my friend sikupenda kucheka,but it really pain ni kubovu.kuchafu.embu shemeji yetu aje aishi uzunguni huku ajaze shavu.
maisha yao hawa ukiwaona nje huwez kudhania sehemu wanazoishi😀😀😀 yani wananuka umaskini muda wote
 
Back
Top Bottom