Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

mbona hizo hotels hazijabadilisha maisha ya wakaazi wa Zanzibar
Photo0146.jpg

imeamua na anaiogopa zanzibar kwenye hotels 😀😀 nimemwambia tuanze kaanza kulia
 
by the way thats our second city...ebu waambie wakuletee picha ya their second city....watatokomea wote utadhani unazungumza na ukuta...nje ya dar porini... watu milioni 50 wanaishi kwa misitu na wanyama tu..wengine miloni 5 wapo Kariakor wamebeba mitungi na kuni kichwani CBD wakiwa wamevaa mileso yao😀😀😀😀

wewe tunakujua ni bingwa wa kunywa pombe kali bila glass.

hapa zimelipuka kichwani.
 
Kibera siyo CBD... Dar iko down sana, mkubali yaishe.

cbd ni nini mzee wa kuvimbiwa???umekariri.

ukweli msio taka kuusikia ni kwamba nai sasa ni mbwa wa kwenye makochi kwa dar.mnaomba leo kesho pinnacle iishe ili angarau mrudishe ka ujasiri,but bad enough mwaka huo huo inaisha tutakuwa tumeshamaliza proj mia na.
 
Leta picha za mwanza au arusha tulinganishe na Mombasa ....BTW the largest city in Zanzibar ni??
zanzibar hotels huzitaki au sio unaogopa 😀😀😀😀😀😀😀 narudia kusema hakuna mji wowote east and central africa unaeza simama meza moja na zanzibar kwenye beach hotel kama yupo anaebisha niko tayari😛😛😛
 
Back
Top Bottom