Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Haha zile pipa kubwa zaja july...hehehe lamba lolo

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
emoji23.png
emoji23.png
haya bas naomba nikuulize, ni nchi ipi haina ndege?
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
maybe sijawaelewa...ama mliskia ndege za Kenya airways na ethiopian ni za mbao
emoji23.png
emoji23.png
...
 
nikikwambia mtz ni mtu anayeongozwa na ubaradhuli wa kiakili usinilaumu...angalia project wanazoimba imba hapa
emoji23.png
emoji23.png
ukuta na vyuma vitatu
emoji23.png
emoji23.png
bora jamaa kaonesha ubabe wakunua ndege 7 cash nioneshe ndege moja tu ya kq amabyao kenya imenunua cash ukipata nitag plZ😀😀😀😀😀
 
mm ndio nimesema ukuta umejengwa na picha nikaweka 25km cha kuskitisha kenyatta alisema atajenga ukuta mpaka wa somalia uko wapi nioneshe tofali moja tu😀😀😀😀😀😀😀
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
ukuta unashangiliwa LDC tu...not middle income world
emoji23.png
emoji23.png
 
ukuta huo kwanza ulishatupiliwa mbali baada ya viongozi toka pande mbili kuzungumza kuhusu insexurity
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
nashangaa hujapata habari jinsi unapenda kuenda citizen, KTN na NTV News
emoji23.png
emoji23.png
heheh alitupilia mbali hana pesa ya kujenga😀😀
sasa aliongea akiwa ndotoni au alijua kujenga ukuta nikama kuvuta msuba😛😛😛😛
 
heheh alitupilia mbali hana pesa ya kujenga😀😀
sasa aliongea akiwa ndotoni au alijua kujenga ukuta nikama kuvuta msuba😛😛😛😛
kwanza ni jambo nzuri hilo sababu hio ilikuwa kutupa hela tu...ukuta wa border nzima unge cost pesa kiasi gani? wacha tujitume katika mambo ya msingi
 
jizee la 1960s limejituma kutafta fake posts kisha analeta hapa
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
mind you, huyu ni babu wa watu
emoji23.png
emoji23.png
 
kwanza ni jambo nzuri hilo sababu hio ilikuwa kutupa hela tu...ukuta wa border nzima unge cost pesa kiasi gani? wacha tujitume katika mambo ya msingi
sasa alipoingea alijua ni kuchuma pesa nyie msizuge hamuna pesa ya kujenga ukuta😀😀😀 hanuna pesa ya kutumiza ndoto ya budget ya ukuta mtakua nayo
 
sasa alipoingea alijua ni kuchuma pesa nyie msizuge hamuna pesa ya kujenga ukuta😀😀😀 hanuna pesa ya kutumiza ndoto ya budget ya ukuta mtakua nayo
ok hatuna hela
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
nenda ka pop champagne kwa sababu ya ukuta wa tanzanite sasa
emoji23.png
emoji23.png
 
I was fool with low IQ for reasoning and fall with a trap of old man who has big capacity to reason beyond of my reasoning.

Plz hebu jaribu kueleza vizuri. Je umelewa mimi huwa sijui kizungu hebu nieleze maana yake kwa kiswahili.
 
whre is that old man?
emoji23.png
emoji23.png
skuizi naona amekoma kwnda Twitter na youtube kutafta comments za wakenya
 
Back
Top Bottom