Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hakuna bana...Tz projects zenu tunazijua na hamna hata moja inayoshtua mkenya...hii ni ukilinganisha na projects zeztu ambazo zinawashtua mpaka waafrika kusini na wanaija

hahaaaaa project gani unaijua wewe ijayo kutoka tz???

hatuna kabisa utaratibu wa kufurahia michoro na kuringishia watu,tuna kuretea picha za site tu.
 
progress ya jengo linalowapa watu tumbo joto
emoji23.png
emoji23.png
...piling inafanywa na kampuni ya Franki Africa
40509293325_176c36185c_o.jpg

41362445922_b8d76e98f3_o.jpg
39595932950_f1d9c0ab41_o.jpg
bado mnachimba shimo tu?.
 
wacheni mambo za sijui shoga...kwani mnamtamani?
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
can we stick to the thread
Hahaha uyo bwege anasema sijafika university kumbe ni shoga?
Tunaishi na mapunga humu jamvini ndio maana mambo hayakai sawa...
Back to the thread tunaendelea na ujenzi wa daraja la 2.8km kutoka stesheni hadi buguruni...hii hamjawahi kuota

Kazi by nov 2019 inakabidhiwa rasmi ya ilo daraja...

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
hakuna bana...Tz projects zenu tunazijua na hamna hata moja inayoshtua mkenya...hii ni ukilinganisha na projects zeztu ambazo zinawashtua mpaka waafrika kusini na wanaija
hongera kwa hilo eti project zetu zote mnazijua
 
hahaaaaa project gani unaijua wewe ijayo kutoka tz???

hatuna kabisa utaratibu wa kufurahia michoro na kuringishia watu,tuna kuretea picha za site tu.
zile mnaleta hapa tu...kwani uliskia sijui kusoma au nini?
 
Hahaha uyo bwege anasema sijafika university kumbe ni shoga?
Tunaishi na mapunga humu jamvini ndio maana mambo hayakai sawa...
Back to the thread tunaendelea na ujenzi wa daraja la 2.8km kutoka stesheni hadi buguruni...hii hamjawahi kuota

Kazi by nov 2019 inakabidhiwa rasmi ya ilo daraja...

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
shoga ni binadamu...lakini tuache hizi story
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
 
shoga la kimombasa... acha nikupandishe hasira kidogo.

unakumbuka hii post yako ya 2017?.
ulikuwa unadai ati unavutiwa sana na mimi kadoda11 jizee la 60s.povu ruksa.
View attachment 742141View attachment 742142



Hahaha,kinyago,Weka fake posts hata Mara elfu moja ,asiekujua humu kua wewe ni gwiji wa kufake I'd za watu nani? repost 10X lakini haitabadili ukweli kua wewe ni ajuza anaetokwa na udenda mdomoni........Pole Babu wamo humu watu wanaonijua vizuri na ujinga unafake kuweka hapa unazidi kudhihirisha kuwa upumbavu wako.
 
Back
Top Bottom