much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 14,065
- 21,548
Hii ni wap broo
Hii ni wap broo
JamiiForums.com.com imelala kweli. Wanachojua ni kutukanana na kuonesha wanawake wakiwa uchi.kadili wanavyonijadili ndivyo ID yangu inavyozidi kujipatia umaarufu.![]()
![]()
![]()
wewe ni jobless so kesho elekea cbd kupiga maround ukifanya window shopping for things you can't afford to buy.What employment and you are in the least developed countries category........employment ya ujinga tu.

Alikuambia Nairobi kuna uptown na downtown. Hayo mambo ya kuuza jijini yanafanyika downtown wala hutoziona uptown. Hata kule downtown, wanaruhusiwa tu mida za jioni kufanya biashara zao; hautapata hawa hawkers wakiruhusiwa maeneo hayo kabla ya saa kumi na moja jioni.Jay456watt hehehe huu ndio ustaarabu CBD😀😀😀😀😀 nimekukamata kwa makei au sio evart jionee bro hapo ndio CBD nairobi
View attachment 738136
unalia nini?.Alikuambia Nairobi kuna uptown na downtown. Hayo mambo ya kuuza jijini yanafanyika downtown wala hutoziona uptown. Hata kule downtown, wanaruhusiwa tu mida za jioni kufanya biashara zao; hautapata hawa hawkers wakiruhusiwa maeneo hayo kabla ya saa kumi na moja jioni.

Junction ya Ohio Street + Bibi Titi Mohammed Road + Ali Hassan Mwinyi RoadHii ni wap broo
Wewe lize bado haujalala? waze wenzako wanang'orota saa hiiunalia nini?.![]()
niambie manzi yangu ya kikenya.Wewe lize bado haujalala? waze wenzako wanang'orota saa hii

do u cry or???Alikuambia Nairobi kuna uptown na downtown. Hayo mambo ya kuuza jijini yanafanyika downtown wala hutoziona uptown. Hata kule downtown, wanaruhusiwa tu mida za jioni kufanya biashara zao; hautapata hawa hawkers wakiruhusiwa maeneo hayo kabla ya saa kumi na moja jioni.
enhh employment now ni ujinga😀😀😀What employment and you are in the least developed countries category........employment ya ujinga tu.
hawatojibu kitu hapo....na ndiyo wajue tofauti kama dar hatuicopy kenya kwa lolote tunafanya ya kwetuikiwa hii ni bus stage terminal tanzania sijui Modern Electric train terminals zitakuaje...povu ruksa
View attachment 740558 View attachment 740559
Uptown sijui downtown ni maneno tuu ya kizungu hayaongezi wala kupunguza kitu chochote kwenye mji.Alikuambia Nairobi kuna uptown na downtown. Hayo mambo ya kuuza jijini yanafanyika downtown wala hutoziona uptown. Hata kule downtown, wanaruhusiwa tu mida za jioni kufanya biashara zao; hautapata hawa hawkers wakiruhusiwa maeneo hayo kabla ya saa kumi na moja jioni.
Safi naona Upanga kidogo,Masaki, posta...Hamna kariakoo apo Hamna kijitonyama Hamna oysterbay,Hamna mbezi beach Hamna mikocheni Hamna sehemu kibao but mji unapendeza
kwa sisi tupo vizuri ila wangekuwa wakenya hii road wangeforce zipite gari tatu wakati njia ni za gari mbili...hebu tizama road yao ya hapo juu....
wewe ni jobless so kesho elekea cbd kupiga maround ukifanya window shopping for things you can't afford to buy.![]()
![]()
dah mkuu una dhambi ningekuwa mimi nisinverudi tena kwa hii thread...