Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakenya mpooo ...mtuache na LDC yetu jamani

Jionee utajiri ,mali na magari yakifahari anayom…:
 
Daag0yHX4AAN6nl.jpg
Aisee alafu kuna nyumbu wanasema Tanzania haikui? Uchumi wa Tanzania inakua kwa kasi ya kutisha
 
Aisee alafu kuna nyumbu wanasema Tanzania haikui? Uchumi wa Tanzania inakua kwa kasi ya kutisha
Hao watu wamekosa ajenda. Lengo lao sasa ni kuharibu nchi. Unajua mtu mwenye wivu anachukia tu bila sababu. Ni sawa na mwanaume akikataliwa na mwanamke anaweza kuanzisha visa vya ajabu ajabu tu bila hata maana yoyote.
 
Hao watu wamekosa ajenda. Lengo lao sasa ni kuharibu nchi. Unajua mtu mwenye wivu anachukia tu bila sababu. Ni sawa na mwanaume akikataliwa na mwanamke anaweza kuanzisha visa vya ajabu ajabu tu bila hata maana yoyote.
natatamani sana hawa wakenya nao walete report zao za makusanyo ta kodi...
 
Nimecheka kwa kweli. Namba za viatu huwa zinasiri nyingi kweli.
hawa vilaza wapo desperate sana na mimi kadoda11 jizee la 60s.

wamefikia hatua wanataka niweke wazi mpaka size yangu ya kiatu.
 
hawa vilaza wapo desperate sana na mimi kadoda11 jizee la 60s.

wamefikia hatua wanataka niweke wazi mpaka size yangu ya kiatu.
Yaani ukitoa namba ya viatu mtu anaweza kujua baadhi ya mambo.
 
Mfano mambo gani?
Nijuze Tafadhali au Kama kuna Uzi ni tag
Yes there is a correlation, at least where it relates to children. The bigger shoe size a child has, the higher their I.Q. The correlation is due to a hidden variable, that is, age. The older a child is, the bigger their shoe size is. The older a child is, the higher their I.Q. is.
 
Big up to the guy how edited that Pic... Alikata all the slums behind.
TYPICAL NYANG'AU, unafikiri slum zetu zinaanzia kama zenu matakoni mwa UPPER HILL na OLD CBD ? utatrembea sama hadi manzese ndio uanze kuona huo uchafu. hapo ni posta, hadi uje uvuke mnazi mmoja, Kariakoo. You guys know nothing na unaonekana mweupo kabisa we hapo gorofani 😀


 
Back
Top Bottom