Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

tukiwambia waache kujenga nyumba kwa kutumia mawe hawataki.

halafu building contractors and civil engineers wa nchi ya kenya huko shule wanaenda kusomea ujinga?. kila mwaka lazima majengo yaporomoke.
yani huwez amini juzi gorofa sita leo tena gorofa nne hvi serekali iko wapi hio elimu wanayojidai humu inasaidia nn😀😀😀😀😀😀😀 haiwezekan watu wakae serekalini bila kuwajibishwa
 
huku hatuwezi onyeshwa....lol
View attachment 717426
you see now
FSA_0297.jpg
 
Wanakuja kuomba Wakenya cause we are rich than you folks ,and more so generous to give out to the poor and needy especially from the south.
huo u-generous mngeanza kwanza kuonyeshana wenyewe kwa wenyewe hasahasa wakikuyu na wanajaruo.

kuonyesha u-generous kwa ombaomba wa kitz ilhali wenyewe kwa wenyewe hampendani ni ujinga wa kiwango cha juu sana.
 
hehehe umegeuza kibao sasa naona kisu kimekuingia sawasawa😀😀😀😀😀



Uhahaha,kibao kipi wakati ombaomba wa kwenu yuatafuta mkenya angalau aishi maisha mazuri ,,,,,,,,,Kenya ni raha aise ....bahari tamu sichungu,,,,mje nyote tutawaoa tu Mali zipo.
 
huo u-generous mngeanza kwanza kuonyeshana wenyewe kwa wenyewe hasahasa wakikuyu na wanajaruo.

kuonyesha u-generous kwa ombaomba wa kitz ilhali wenyewe kwa wenyewe hampendani ni ujinga wa kiwango cha juu sana.


Kutopendana hakuondoi u-generous ,,,ukwali ni kwamba mnatuomba mapeni kutwa-kucha hilo huwezi libadili.
 
Kutopendana hakuondoi u-generous ,,,ukwali ni kwamba mnatuomba mapeni kutwa-kucha hilo huwezi libadili.

embu tazama hii kwanza ili akili ikukae sawa... nimekuwekea na video kabisa.

IMG_20180317_134312.jpg


ukimaliza kuitazama rudi hapa tuendelee kujadili kuhusu ombaomba wa kitz nchini. kenya.
 

Attachments

Back
Top Bottom