sean marcus
JF-Expert Member
- Sep 6, 2013
- 768
- 592
Okay leta yako basi capturing your suburbs and the CBDTwo photos in two different angles
This are two photos in two different angles
Okay leta yako basi capturing your suburbs and the CBDTwo photos in two different angles
This are two photos in two different angles
Kwahiyo msilalamike tunapowaambie ukweli kuhusu nchi yenu, tunapoweka link kuonyesha kwamba Kenya is a failed state kwanini mnakasirika wakati huo ndiyo ukweli?, tunapowawekea link zinazoonyesha kwamba Kenya watu wanakufa kwa njaa na mnategemea Tanzania kwa chakula, mbona mnakasirika?, endeleeni kuvumilia.
Kwahiyo msilalamike tunapowaambie ukweli kuhusu nchi yenu, tunapoweka link kuonyesha kwamba Kenya is a failed state kwanini mnakasirika wakati huo ndiyo ukweli?, tunapowawekea link zinazoonyesha kwamba Kenya watu wanakufa kwa njaa na mnategemea Tanzania kwa chakula, mbona mnakasirika?,
endeleeni kuvumilia.
Are you japan or just a shithole country in Africa??Pleas check developed countries like U.S,Japan,German.... Their dept ratio is over 100% of their economy... Fools will always be fooled.
Go check then come we discuss.
So maendeleo ni kukaa nyumba za kufanana kama mapachaCompare and contrast the two, emphasis on infrastructure and beauty.View attachment 713823 View attachment 713824

Stupid LDC, you think Japan was born Rich..Are you japan or just a shithole country in Africa??
Hata baazi husingizia jua ikikosa kuota...So maendeleo ni kukaa nyumba za kufanana kama mapacha![]()
Ardhi yote ya Tanzania mmiliki mkuu ni rais ila wananchi tunamiliki kwa niaba yake na serikali ikiitaka ardhi ya mwananchi inamlipa fidia kulingana na market value ya hio ardhi. Wewe umeelewa vibaya.My home county (Migori) borders tanzania and it ony takes 30 minutes drive kufika tanzania kutoka home kwetu so najua ninachongea. I have many friends and even relatives in tanzania as far as Mwanza na hiyo ndo information napatanga kwao.Hakuna mtanzani anamiliki ardhi anaweza sema ni yake na hata wewe unajua hiyo ndo ukweli. You lease land from your government, period
...which means there's no truth in anything you say. You are only acting out of anger.Unajua most of the time mtu akikasirika anaeza ongea chochote mradi tu aondoe hasira aliyonayo moyoni hata kama anachoongea sio ukweli. It's human nature, so I understand you broTruly am doing so as retaliation. Kenyans you are known all over Africa because of your bragging behaviour, you think you know everything, you give yourselves credits by talking bad things against other countries, when that happens we remain with nor choice.
Nawe una guts za kujipanga na japanStupid LDC, you think Japan was born Rich..
The biggest let down by Tanzanians is despising themselves.. Hamjiamini... Inferiority complexView attachment 713897 View attachment 713898
.Please remind him about CNN...we roasted them live on social media when they dared talk bad about our beautiful land forcing their CEO to fly in just to apologize. Don't ever pick a fight with Kenyans on social media, you'll live to regret that decision. Hata wanaija walijaribu wakaona maajabuAre you just mad because no one talks about Tz..
Kuna mtanzania alikuja Nairaland and tried to promote Tz but no one gave ashit...
When ever kenya fights on social media with whichever country or site, the whole world stops and enjoy. We are hilarious,aggressive and don't take crap from anyone.
Kenyan news makes the highest traffic on Nairaland, Jamii Forum and Tweeter.. sikupenda kwetu
Hawa hata habari ndio hawana kwamba hizi nchi zimeendelea pia ziko na madeni tena mingi kushinda zetu. They are trying everything to justify their points but it's just falling back on their facesPleas check developed countries like U.S,Japan,German.... Their dept ratio is over 100% of their economy... Fools will always be fooled.
Go check then come we discuss.
Hizi ndo nyumba za watanzania zenye hayo mabati mnayoona kwa google earth. Ni utamaduni wetu na fahari kwetu watanzania kujenga nyumba zetu wenyewe kuliko kukaa kwenye kotaz mnazoita apartments. Nyumba zetu ni product ya creativity yetu.Hata baazi husingizia jua ikikosa kuota...
Watajua hawajui, who talks about Tz btw?Please remind him about CNN...we roasted them live on social media when they dared talk bad about our beautiful land forcing their CEO to fly in just to apologize. Don't ever pick a fight with Kenyans on social media, you'll live to regret that decision. Hata wanaija walijaribu wakaona maajabu
Hizi ndo nyumba za watanzania zenye hayo mabati mnayoona kwa google earth. Ni utamaduni wetu na fahari kwetu watanzania kujenga nyumba zetu wenyewe kuliko kukaa kwenye kotaz mnazoita apartments. Nyumba zetu ni product ya creativity yetu.
By the way watanzania hatupendi kujitenga kimatabaka so hata manzese hizo nyumba zipo. View attachment 713906View attachment 713907View attachment 713908View attachment 713919View attachment 713920View attachment 713921View attachment 713923View attachment 713924View attachment 713925