ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Acha kuwa na mtazamo wa kizamani kuhusu vitu. Mfumo wa elimu unapaswa kumuandaa mtu kutumika katika mazingira yake kwa kumuwezesha kufanya maamuzi yatakayoongeza ubora.
Unawapimaje watu wenye shida tofauti kila mmoja hivyo pia malengo yao... Hata kama utawapa elimu ile ile bado wataifanyia kazi kwa utofauti. Elimu sio kupokea tu mapokeo ya wageni na lugha yao.. Ni kuelewa nadharia na kuitafsiri kwa upeo wako ikusaidie katika kazi zako za kila siku.
The same education given to a masai boy inaweza kupewa kwa mkulima pia ila wote wakaitunia kivyao. Just because one of them did not realize huge economic achievement... Haitoshi kufanya elimu aliyoipata kuwa of lesser quality. Maana kwa hapo its simply perceptions za kwako unaye-grade.
Our Education is better.. It needs improvements..no denying..lakini hata Japani wanafanya maboresho kwenye yao.. Sio kitu kibaya. Kitu unapaswa kujua mfumo wa elimu sio kuwa na shule tu.. Ni indoctrination system ...if you don't have doctrines of your own... And you struggle so hard to fit in the world ...mtapotea mtakuwa waajabu .. A nation without culture. Muitumie shule vizuri kuwakumbusha wakenya wao ni nani.. Sio mnang'anga'ana na uzungu pori tu.. 🙂
munajituma vp na hamuna ajira kwa vijana😀😀😀😀😀😀Sisi ni watu wa kujituma, sio kama hawa southerners. Kenyans are very ambitious and hardworking ndo maana utasikia wakituita wezi
Kwani hizi picha za barabara wanazotuwekea humu hazijasaidia??Hehe alaf munajenga inafastructure zipi sasa yani mji wenyewe mdogo badala kuitanua kwenda nje zaidi wanazidi kuibana kwenda ndani
View attachment 712185
.Hazisaidii kwasababu hakuna mfumo mzuri wakuondoa adha wao muhimu sifa tu hakuna plan ya kuondoa adha za barabara we unaeza amini mvua ilisababisha foleni iliodumu siku nzima njia ya mombasa yani siku nzima gari zimesmama tuKwani hizi picha za barabara wanazotuwekea humu hazijasaidia??
Ni zile zile kelele tunawapigia kila siku kwamba,hakuna kitu kinafanyika tz bila tathmini,ukiona hakipo ujue kimeonekana hakina tija.mtu anajigamba ana barabara lane sita sita kuingia mjini,wakati mji ni mdogo.
Sisi tumeona mbali,badala ya kuweka barabara nyingi magari yajazane mjini,tukaweka BRT na train ya diesel,tunaongeza na phase 2&3 kuua kabisa msongamano.jam zimebakia junction tu tena in seconds.
Waambie waendelee kuongeza lanes atleast zifikie 12 kila direction![]()
.
No wonder mlikuwa mkidhani tz imelala.Thanks for watching Kenyan News... kindly also brief us what happened to Tz jana... It's unfortunate we don't watch your Tv's.
Uhahaha unaumia sana 😀😀😀😀Thanks for watching Kenyan News... kindly also brief us what happened to Tz jana... It's unfortunate we don't watch your Tv's.