Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

nyeri is such a beautiful town
3959971551_16bed943d7_b.jpeg
4305812291_50e90989e8_b.jpeg
4287246589_fde0296630_b_d.jpeg
4281421692_62837ae563_b.jpeg
4257535980_8e7f98cd8c_b.jpeg
4240165267_c5ce935662_b.jpeg
4237593908_425fe1b24c_b.jpeg
3946465355_293d1924d5_b.jpeg
3946468165_60811d6ea8_b.jpeg
 
Japo inafahamika kwamba uwezo wako wa kufikiria kwa ujumla ni mdogo sana, lakini hatutegemea katika jambo dogo kama hili ushindwe kujiuliza japo swali dogo, sasa nani atakuamini kwa kusema kwamba hiyo ni picha ya Dar?, lazima uambatanishe na ushahidi, kama vile land marks za mji wa Dar, au screenshot iliyoambatana na maelezo ya mtu mwengine aliyepiga hiyo picha, picha zote za Kibera zinazowekwa hapa, zinaambatana na picha na maelezo ya watu waliozipiga na kuzipost kwenye page zao za tweeter, hasa wazungu wanaotembelea Kibera, onyesha picha za Kibera ambazo tumeziweka bila ushahidi wowote.
Living in denial is one of the reasons why you are an ldc 50 years down the line. I belive umekuwa ukifatilia thread, mmeleta picha mingi sana za slums na kiluziita kibera bila evidence hapo ni kibera au Nairobi. Uzuri wetu ni kwamba tunakubali kibera ipo na inazidi kuboreshwa. Tatizo lenu ni kwamba hamtaki kukubali Dar imejaa changaduo kila mahali Ilhali ukiingia google maps hata saa hii utaona kibera-like houses in every coner of dar. Kubalini matatizo yenu na muanze kuzishugulukia. Kuleta picha za kibera haitasaidia Dar kuipiku Nairobi katika ubora wa maeneo ya makazi
 
Living in denial is one of the reasons why you are an ldc 50 years down the line. I belive umekuwa ukifatilia thread, mmeleta picha mingi sana za slums na kiluziita kibera bila evidence hapo ni kibera au Nairobi. Uzuri wetu ni kwamba tunakubali kibera ipo na inazidi kuboreshwa. Tatizo lenu ni kwamba hamtaki kukubali Dar imejaa changaduo kila mahali Ilhali ukiingia google maps hata saa hii utaona kibera-like houses in every coner of dar. Kubalini matatizo yenu na muanze kuzishugulukia. Kuleta picha za kibera haitasaidia Dar kuipiku Nairobi katika ubora wa maeneo ya makazi


lol....they deny what is clearly visible and proven
 
lol....they deny what is clearly visible and proven
Mimi huwa nacheka sana wanapoleta picha za kibera and other slums in Nairobi. they forget that Kibera is a very small area in Nairobi. Wanasahau kwamba dar yao is Kibera raised to power ten squared. A true case of the pot callling kettle black
 
Hauoni the famous landmarks comprising the Slum + BRT? Hapo bila shaka ni Dar slum.
BRT kwa mara ya kwanza ulisikia mwaka gani?, hivi ulishawahi ona BRT maishani mwako?, usichanganye na old gari moshi, hutoona BRT wala hutoijua hadi uje Bongo, ndiyo sababu unasema kuna BRT hapo, kama hujawahi ona BRT, utaijulia wapi?
 
Tunajenga both 2 phase kwa pamoja hatusubiri pesa za mikopo😀😀😀😀
Kama ya kwenu mlijenga kwa mwaka mmoja hapo sawa
Leo umejiabisha sana unaleta profit ya KCB 19 milllion na crdb profit yake ni 2 billion kes...unajiabisha..all top 10 banks in kenya are more profitable than crdb and your netherlands bank NMB
 
Back
Top Bottom