Lewis254
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 8,297
- 3,648
Naona wakiipata 2020 wakati wa reelection ya ********😀😀bado njia haijapatikana 😀😀😀
Iyo ni middle east hakuna mahali east kumevunda ivyoTanzania
![]()
Iyo ni middle east hakuna mahali east kumevunda ivyo
Project kubwa sahv Ni Tz sgr ambayo uko UC sio hadithi hadithi...stiglers gorge nayo ndio project kubwa sio simulizi zako za lamibtw speaking about huuuuuuuuuuuuuuuge projects, check LAPSSE out, a very active twitter handle LAPSSET (@lapsset) | Twitter
Garissa
Garrisa haina wingi wa watu...kumbuka ni jangwa.Garissa
Iyo haituhusuGarrisa haina wingi wa watu...kumbuka ni jangwa.
" target="_blank" class="link link--external" data-proxy-href="/proxy.php?link=https%3A%2F%2Fwww.iol.co.za%2Fnews%2Fafrica%2Fcnn-calls-kenya-a-hotbed-of-terror-1890492%5Bemoji23%5D&hash=3a7d6e5d4d329551a874a93eb7d2756e" rel="nofollow ugc noopener">https://www.iol.co.za/news/africa/cnn-calls-kenya-a-hotbed-of-terror-1890492Hayabasi jihusishe na hii😛😛
![]()

Sasa nn kinachothibitisha kua apo Ni kisumu?Au EldoretHayabasi jihusishe na hii😛😛
![]()
Mbona umesahau na East African crude oil pipeline ambayo itaanza may?Project kubwa sahv Ni Tz sgr ambayo uko UC sio hadithi hadithi...stiglers gorge nayo ndio project kubwa sio simulizi zako za lami
Hehehe nmb sio ya Netherlands, serikali ina stake zaidi ya 40%haha hio NMB ya Netherlands?
There you go..Mbona umesahau na East African crude oil pipeline ambayo itaanza may?
Bado wanapigana na simba kule msituni wakitafuta njia ya reliPhase 1 imefika wapi?😀😀😀😀
mnachonishangaza nayo ni kwamba mnajua kukana sana picha mbaya za Dar na hata kuitisha thibitisho ya picha! Nyinyi mnapoleta picha za slum na kuziita kibera, mathare nk mnaweka thibitisho? Hiyo picha ni ya Dar na hata wewe unafahamu hivyo so wacha kukana.Cha ajabu ni kwamba nje ya cbd, 90% of Dar looks exactly like that picture above. Ndo maana ni vigumu sana nyinyi kuleta picha za estates za Dar.Sasa nn kinachothibitisha kua apo Ni kisumu?Au Eldoret
just Google "Daresalaam aerial view " and look out for the third or second photomnachonishangaza nayo ni kwamba mnajua sana picha mbaya za Dar na hata kuitisha thibitisho ya picha! Nyinyi mnapoleta picha za slum na kuziita kibera, mathare nk mnaweka thibitisho? Hiyo picha ni ya Dar na hata wewe unafahamu hivyo so wacha kukana.Cha ajabu ni kwamba nje ya cbd, 90% of Dar looks exactly like that picture above. Ndo maana ni vigumu sana nyinyi kuleta picha za estates za Dar.
Japo inafahamika kwamba uwezo wako wa kufikiria kwa ujumla ni mdogo sana, lakini hatutegemea katika jambo dogo kama hili ushindwe kujiuliza japo swali dogo, sasa nani atakuamini kwa kusema kwamba hiyo ni picha ya Dar?, lazima uambatanishe na ushahidi, kama vile land marks za mji wa Dar, au screenshot iliyoambatana na maelezo ya mtu mwengine aliyepiga hiyo picha, picha zote za Kibera zinazowekwa hapa, zinaambatana na picha na maelezo ya watu waliozipiga na kuzipost kwenye page zao za tweeter, hasa wazungu wanaotembelea Kibera, onyesha picha za Kibera ambazo tumeziweka bila ushahidi wowote.mnachonishangaza nayo ni kwamba mnajua kukana sana picha mbaya za Dar na hata kuitisha thibitisho ya picha! Nyinyi mnapoleta picha za slum na kuziita kibera, mathare nk mnaweka thibitisho? Hiyo picha ni ya Dar na hata wewe unafahamu hivyo so wacha kukana.Cha ajabu ni kwamba nje ya cbd, 90% of Dar looks exactly like that picture above. Ndo maana ni vigumu sana nyinyi kuleta picha za estates za Dar.