Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Whaaa. Uzi umeingia aliens. Kidogo niseme nimejikuta kwenye jukwaa la siasa... hahahaha
 
ahaha hao nafikiri ni wale wanafatilia uzi kwa chinichini.
sure. wanakaribishwa. mchango wao utakuwa mzuri sana ila wasiandike insha ndefu ndefu zisizoeleweka kama Jiwe La Joto. Half of the time, huwa sijui anaandika nini
 
😀😀😀😀😀😀
B0877728-014A-4386-B92F-D0B8039598BD.jpeg
 
Asante magu na ethiopia na uganda
Wizi ndio laana walioachiwa😀😀
DE862A55-4C38-4636-B777-FB532350AD17.jpeg
 
Back
Top Bottom