ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
mujitahidi sana.Phase 2 inaanza june more than 27km na ukumbuke hio 21.7 ya sasa hvi ndio the longest BRT in africa una lingine😀😀😀😀
mujitahidi sana. View attachment 706082
Gor mahia inamiaka Zaidi ya hamsini na hawana hata kibanda cha kukojolea😀😀😀😀


upside down prioritiesmujitahidi sana. View attachment 706082
Nice,btw JNIA Terminal 3 inakuja kusawazisha kabisa...Nai inaenda kuwekwa kwapaniJKIA Airport, Nairobi
![]()
![]()
![]()
Kenyatta International Conference Centre (KICC) Helipad, Nairobi
![]()
![]()
Kaka yangu alipomaliza chuo pale udsm kipindi flan alifika apo ilikua zaman kidogo akapiga picha apo kwenye iyo nyumba ya kenyatta sahv ni museum kweli tumia muda wako vizur
Manzese iyo embu weka Mathare apa nicheke kama unauwezomujitahidi sana. View attachment 706082
Muhimu punguzeni sana tabia ya kuungana pamoja na kulindana, hiyo ni tabia ya wanafunzi. Moderator anafanya kazi yake bila kujali kwamba huyu ni wa nchi gani, kwanza huwezi jua, inawezekana hao mods ni kutoka nchi mbalimbali za EA, sasa mnaanza kuonyesha tabia ya kujifanya mnaonewa kama wakenya, punguzeni sensitivity.
Mnacement za mchezoKisumu ,kondele Tibiim
![]()
Chakushangaza inaingiza pesa nyingi kuliko your old sgrkisha hii brt huwa ni 21km pekee.... distance fupi sana for a 1590km² town.
Dongo kundu every whereKisumu ,kondele Tibiim
![]()
What is the meaning of that word TUZO?Gor Mahia is still the greatest team in East Africa...............