Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

So after decades this is what gor mahia processes today 2018

fe152d31fafadb96146663bbe4565b91.jpg



Gor Mahia is still the greatest team in East Africa...............
 
hii hata haionyeshangwi kwa sababu iko chini, wengine wanapiga kifua na hatuoni hata hizo bombardier, a small airline jambojet ina order tu pap one touch
 
you still have a long way to go,kwani contractor mwenye anajenga ni different from the locomotive supplier?
Swali zuri sana umeuliza, ni kweli kabisa, Tanzania inatumia pesa yake katika mradi wa SGR, kwa hiyo anaamua vile inavyoona inafaa. Ujenzi ina phases tano, na kila phase inajitegemea, maana yake wanatangaza tender upya kwa kila phase, kunauwezekano wakapatikana wakandarasi zaidi ya mmoja katika ujenzi huu, hadi sasa pases mbili wamepata waturuki.

Katika kusupply locomotive, hiyo pia ni project inayojitegemea, kwahiyo tumetangaza tender, kama waturuki wakipata, is well and good, ila inawalazimu wafanye kazi nzuri sana katika hizi phases mbili walizopata ili wajiweke katika nafasi nzuri ya kupata hizo zingine, hii ni sababu moja wapo kwamba tunapata good price and quality job.
 
Back
Top Bottom