Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kahawa shuge
5d6307c470ca0ba96123a9906bc5470d.jpg
276b048ca84201f1fc261760d47f5a8e.jpg
34140e741b4b969be5bc6afe91755a56.jpg
e51e81624f46bda5117bfd713244ef76.jpg
de7372602a2109467a3d229bae323d27.jpg
Nikiwa ryma hapo KU nilikuwa tunashika mpaka swara zikitoka shuge zikikam kumunch nyasi chuo ndani. Things have really changed in the past 20+ years.
 
Kha!! Nakuona umechoka sasa. Can you show us different thing or new thing from Nairobi as we do?
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
Kila wakati unaonesha vitu hivyo hivyo tu. Tuoneshe vitu vipya basi.
Hapa ni Sub County ya Thika in Kiambu County kwa hiyo meza wembe pole pole.
 
Hatuna utamaduni wa kuishi maisha kama wanyama sisi, kumbuka Tanzania inaongoza Afrika kwenye Inclusive economy, UN wakisikia unasema hizi picha ni Tanzania watakushughulikia. Tanzania is a special country.
92% ya Dar ni SLUM jaribu lingine.
 
Without Nairobi and Kenya at large some of these hyped Tz artists can't go far! Diamond is a testimony that Kenya makes or breaks!
Thousands of Kenyan investors are scrambling for Tanzania, because Kenyans are aggressive, not because Kenyans are poor, Diamond going to Kenya because Tanzanians are poor, not because are aggressive
 
watu wanaokaa Kibera wako na bungallows zao rural areas. Nairobi wamekuja kutafuta pesa. btw, watz wamejaa Kenya sana, if not begging on the streets, they're doing odd jobs
Mtanzania anayekuja Kenya lazima atakuwa na matatizo kama hao ombaomba, haiwezikani uache modern, civilized, calm, peaceful, economically vibrant country na uamue kwenda kuishi katika nchi iliyopo katika list ya failed states.
Kenya ranked as 'failed state'
 
Hapa ni Sub County ya Thika in Kiambu County kwa hiyo meza wembe pole pole.
hizi nyangau kazi zao rahisi sana.......dawa Yao najua perfectly.Today I toned down on their massive grotesque aerial view of shack slums covering 90% of their city because I don't want nightmares......gotham city nightmares.Infact nimesave hizo photos kwa folder na jina kadoda
 
Nikiwa ryma hapo KU nilikuwa tunashika mpaka swara zikitoka shuge zikikam kumunch nyasi chuo ndani. Things have really changed in the past 20+ years.


shuge is on steroids bro..
..kwanza Thika road mzima sahii ni estates tupu...........That road has done wonders
 
Back
Top Bottom