Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ati githurai
uthiru
Ruai
Riruta ni slums....Hahaha.Those places have better buildings than masaki and oysterbay
Then waekee estates za kangemi kama.....mountainview estate,kitusuru estate and some gated community estates
 
unawazimu wewe rudia tena???? according to my views bakhresa is a richest man in east africa😀😀😀
umepewa the main reason ya album launch Nairobi
 

Attachments

  • Untitled.png
    Untitled.png
    217.9 KB · Views: 21
Jiulize mbona hangelaunch album Dar...youre very poor
anataka pesa za kigeni what we want is foreign money😀😀😀😀😀 naomba mumpe pesa kwa wingi sana
ili aendelee kujenga viwanda tanzania maana anandoto kubwa sana tayari ashafungua studio ya TV na radio
 
he is coming to launch an Album and in order for all Africa to listen to it he does it in Nairobi
hiyo ni lugha tu ya kibiashara dogo ili siku hiyo mjitokeze kwa wingi kumepelekea pesa.na anajua mtajitokeza wengi kwasababu ya ushamba wenu.

kwa akili yako, waafrika wote wapo nairobi?.
 
aache kufanya nigeria au south africa huyo kaja kuchukua pesa zenu maana munampenda kuliko uhuru kenyatta 😀😀😀😀😀 na naomba usiache kumpa pesa yako japokua una hali mbaya toa hata 500ksh plz
 
umepewa the main reason ya album launch Nairobi
Huyu yuko kibiashara zaidi ndo maana hiyo album itaenda kuzinduliwa hadi Marekani karibia majimbo 12.. Hapa Tz hata tumia Nguvu Kubwa maana akiitisha tu watu ni Mafuriko kila MTU atakuja.. Ni mbinu yake ya Kibiashara kuiweka Tz ya Mwisho.. He knows what he's doing
 
Mbona unatuma picha za kitambo sana, the first picture ni ya 2000, 18 years ago. Hakuna uap, britam ama kcb building upperhill.
Picha ya pili ni ya 1980's. Times tower haiko na ilijengwa 1992 lol. All those other pictures are from ancient times.
Do your latest research
 
Back
Top Bottom