Alipokuwa akikuja Kenya hakuwa anajua Europe iko?kama alitibiwa kenya europe alienda kufanya nn mpaka leo yuko europe, sasa tuambie anafanya nn na ile risasi mlioshindwa kuitoa kashatolewa europe😀😀😀
hehehe mkenya punguza hasira😀😀😀Hilo swali ni vyema kama ungeuliza joto la jiwe. Ama fuatilia profile yake uone aliposema hivyo
si baada ya kushindwa ikabidi apelekwe europe😀Alipokuwa akikuja Kenya hakuwa anajua Europe iko?
Ingia Google earth uone ni mji gani imezungukwa na slums. Google earth doesn't lie. Meanwhile the city in front of you is and will always be NairobiMmezungukwa na slums na wakora kibao ,au mmedevelop kunguni
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Jiengalie ulivyo mjinga. Kama mko na better healthcare mbona mkavuka border kuja kenya? secondly kama ni kuhusu usalama wake mbona hakurnda hata uganda ama Rwanda? Why just Kenya? Continuet to live in denial danganyikanssi baada ya kushindwa ikabidi apelekwe europe😀
na aliletwa kwenu kwa usalama wake kwasababu yeye ni chama pinzani na familia yake ndio waliamua hvo
Tusker is the best beer in Africa ..acha ufala zako...Tanzanians don't drink it because its Kenyan madeNiliwah kwenda kwenye sherehe flan ilikua harusi,tukapiga bia sana bia zikaisha jamaa wakasema bia zimeisha ila kuna tusker mtakunywa?hahaha ndio mara ya kwanza kunywa tusker...baada I beer kuisha
Ingia Google earth uone ni mji gani imezungukwa na slums. Google earth doesn't lie. Meanwhile the city in front of you is and will always be Nairobi
Unaelewa maana ya usalama wake kwasababu yeye ni chama pinzani kipi usichoelewa ni sawa raila apigwr risasi we unafkiri familia yake watakubali atibiwe kenya kwasababu ya usalama wake??? Kenya ndio karibu aende rwanda au uganda wakat ni over 1500km wakat hapo kenya ilikua just 600km tumia akili weweJiengalie ulivyo mjinga. Kama mko na better healthcare mbona mkavuka border kuja kenya? secondly kama ni kuhusu usalama wake mbona hakurnda hata uganda ama Rwanda? Why just Kenya? Continuet to live in denial danganyikans
Hehe sio slums kwan mm ndio nilitengeza hio map nenda ukamlilie alietengeza😀😀😀😀ati githurai
uthiru
Ruai
Riruta ni slums....Hahaha.Those places have better buildings than masaki and oysterbay
Hii ndio Google earth? Kilaza wa mwisho
Tuna beer za maana kuliko tusker,Safari lager hii ndio best of the best, Kilimanjaro lager, Serengeti lager &lite...kwann tunywe beer cheap kama Iyo? Na kama tusker ni bora basi wewe hujui beer. ...Tusker is the best beer in Africa ..acha ufala zako...Tanzanians don't drink it because its Kenyan made
ukweli huu hapa😀😀😀 ukweli hamuupendiHii ndio Google earth? Kilaza wa mwisho
so umerudi kufanya nn😀😀😀😀Ila nyie washindani wa humu huwa mnanipa raha,eti Tzn vision 3080 ni hako kabaraba ka mzunguko
Niliacha kuchangia baada ya kukuta hakuna aliye realistic ila kila mtu ni muwambs ngoma au bliñd patriot anavuta kwake