Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hio ndio maana hakuna pesa inaingia Tanzania. Fact is, We own you na mko hapa kujicompare na sisi.
Alafu tukisema LDC mnadhania ni kusema tu. Figures!
Mbona ninyi ni failed state lakini bado mnajilinganisha na non failed state kama Tanzania?
 
Unaijua kariakoo au unalopoka tu??
This was githurai in 2009.....looks sexier than the overrated upanga
I will look for latest photos soon.....ghorofa huko sahii ni times 2 za kariakoo
5f9f6e83bfe8397bc0085124ddeb5e49.jpg
71bb26f2b7e36377ac96631ce8a627de.jpg
9e6586be40b225f860e9f1cd8609bf92.jpg
e92d0af3ec5525d82654039dd1972dff.jpg
 
Pia hio 80% uliona kwa macho ama?
With minor psychological observation you're just another phony.


this story just sounds cooked up......the 2km sq kibera is the point of consolation for any Tanzanian .......................it consoles them that their largely shack like slum structures which cover 80% of the city according to UN has a brother somewhere
 
Hahaha...hakuna mtu mjinga hapa kukuliko. Ulikuwa unategemea kuona 'dream houses' zile za Dar sivyo? Hizo zinapatikana Dar pekee si Nairobi. Ile Uthiru ulikua unasema ni slum ndio hiyo. Personally ntakutaftia picha za githurai pia nikuletee...Nairobi si level ya hicho kijiji chenu mnaita city
Pakeni rangi aisee japokua ni appartments sawa hamuna ardhi ya kujenga Zaidi ya kupangisha basi pakeni na rangi duhh utasema zilipigwa bomu😀😀😀😀😀
 
this story just sounds cooked up......the 2km sq kibera is the point of consolation for any Tanzanian .......................it consoles them that their largely shack like slum structures which cover 80% of the city according to UN has a brother somewhere
From 6.6 to 2km kumbe na yenyewe munapika hahahhaha 6.6 km sq with 2.5m people ama kweli ardhi mutaziskia kwenye radio😀😀
2A1A552F-7B5E-4F56-8774-E8A0F59A26D6.jpeg
 
Dar people be like "tungekuwa na camera mgetutambua"....na vile annal alisema ata engage drone ya kutuonyesha Dar slum .....Hahaha.shida yenu ni mlilemewa kupanga mji.....nyumba poa kando ya shack sasa ukiombwa aeriel view ni fedheha kwako
 
Wewe lia tu, Tusker is one of the biggest beer brands in Africa with companies in Uganda Tanzania South sudan and Kenya.
It's sold all over Africa and US and UK. I'll give you an example, UK largest and second largest retailers or supermarket chains, Tesco and Sainsbury sell Tusker.
And even if you hate Tusker, it probably owns your best beer. Tusker (EABL) owns 51% stake in Serengeti beer.
Don't play with kenyan businesses fyi...ikifika biashara mtuachie Mjiokoe na BRT.
Tusker bia ya mwisho kabisa

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Wengi wao hawajawahi toka nje ya tandale so they think every other place looks exactly like tandale. One of the reasons they always post picha za kibera coz the only thing they can identify with are slums
Ukitaka kutoka huwez fikiri kuja kenya apo bana embu jiheshimu...siwez acha kwenda sehemu zinazoeleweka nije Nbo take time ,Nbo is just another joke jipe time

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Tumemaliza na ninyi kihusu beer. So inabidi mfunge madomo yenu. Safari lager, Kilimanjaro na Serengeti zimewahi kuwa beer bora kwenye mashindano ya beer africa.
 
Badala ya kulia sana, tumia figures.
All those claims you are making luckily are measurable through what we call tue HDI. Human Development Index.
Now, Tanzania's HDI is about 0.4 while Kenya's has surpassed the 0.5 mark.
This is the reason kenya is classified as a middle Human development category whereas tz is at the low human development category.

If you have proof of disclaim, lay evidences but those are the facts. If only you were man enough to admit. Either way, admit or not, it won't change the fact.

Hapana mzee ..according to UNDP hatujapishana sana
186fb16465f27a044b37b7e647908282.jpg


Na Tz iko above 0.5 mark at 0.53
336f00e93f0f59629a5b5d3ffd9f6edf.jpg


Kenya at 0.55
 
Naona some centimtres zinaadiwa kwa the 320metre tall tower. Mahaters wako wapi??? Btw kujenga a 320 metre tall si mchezo, si easy work kama hizo 60 metres mnajenga huko Dar
321.jpg
320.jpg
 
Back
Top Bottom