Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kadoda your people can't afford alcohol........gongo ndio mtindo huko
447af6515213af0e59e725b75fa4465e.jpg
 
EABL used to own TBL until 2011 to 2013 when it clashed with SAB MILLERS and agreed to sell its stake to SAB who now owns TBL.
EABL still controls 51pc ownership of serengeti.
Know your owners
hilo povu tulishalizoea.
punguzeni hasira.acheni kisu cha ngariba kifanye kazi yake.
 
daah! nilikua nasikia tetesi tu kuhusu kibera,sasa nikasema ngoja nikienda mombasa safari hii nitaunganisha mpaka nairobi nikajionee hiyo kibera, aisee nimefika kule hata nusu saa cjaimaliza nikamwambia mwezangu tugeuze huku sio kabisa,, ni pachafu saana watu wanaishi maisha magumu sana pale, yoteyote niliduwaa tu pale nilipopita relini, jamaa akaniambia angalia usikanyage mifuko hiyo. pita juu ya reli, nikamuuliza una maana gani, akaniambia hivyo ni vyoo vya watu, wanaita flying toilet, hajamaliza kuongea tukasikia paah, kitu kimeachiwa huko juu kinapepea kwenye rambo. halafu nawashangaa walivyo na nyodo sasa huku mitandaoni, 80% wanatokea huko kibera.
 
daah! nilikua nasikia tetesi tu kuhusu kibera,sasa nikasema ngoja nikienda mombasa safari hii nitaunganisha mpaka nairobi nikajionee hiyo kibera, aisee nimefika kule hata nusu saa cjaimaliza nikamwambia mwezangu tugeuze huku sio kabisa,, ni pachafu saana watu wanaishi maisha magumu sana pale, yoteyote niliduwaa tu pale nilipopita relini, jamaa akaniambia angalia usikanyage mifuko hiyo. pita juu ya reli, nikamuuliza una maana gani, akaniambia hivyo ni vyoo vya watu, wanaita flying toilet, hajamaliza kuongea tukasikia paah, kitu kimeachiwa huko juu kinapepea kwenye rambo. halafu nawashangaa walivyo na nyodo sasa huku mitandaoni, 80% wanatokea huko kibera.

Hahaahah
 
hilo povu tulishalizoea.
punguzeni hasira.acheni kisu cha ngariba kifanye kazi yake.
Hio ndio maana hakuna pesa inaingia Tanzania. Fact is, We own you na mko hapa kujicompare na sisi.
Alafu tukisema LDC mnadhania ni kusema tu. Figures!
 
The only tanzanian product hapo ni konyangi ama sijui inaitwaje.
Hendricks Gin ni ya Scotland. Tusker ni ya kenya serengeti ni ya kenya kilimanjaro ni ya SAB lol
wewe endelea tu kutoa povu.
povu lako linadhihirisha kuwa kisu cha ngariba kimefika kwenye mfupa.
 
Hampendi maisha ya apartment ndo maana Dar kila corner kuna changaduo aka dream house?

Dar sikatai kuna maeneo kadhaa yanahitaji marekebisho lakini hauwezi kusema kuwa hayo maeneo watu wanavyoishi ni kama wa absolute poverty lakini slum zetu yani haistahili binadamu kuishi. Pia dar kuna maeneo mengi tu mazuri kwa mtazamo wangu kama.

Oysterbay

Masaki

Mbezibeach

Kimara

Upanga

Tegeta

Mikocheni

Posta

Kibaha

Kigamboni e.t.c

Tatizo picha ndio sina.
 
The only tanzanian product hapo ni konyangi ama sijui inaitwaje.
Hendricks Gin ni ya Scotland. Tusker ni ya kenya serengeti ni ya kenya kilimanjaro ni ya SAB lol
na azam juice ni ya kenya, na mo juice ni ya kenya,. sasa mtakuaje na bia inaitwa serengeti ambayo ni mbuga yetu ya tz, au mnatutangazia utalii, na mlivo na wivu msingethubutu kuiita serengeti, hizo bia zote ulizotaja ni za tz
wewe endelea tu kutoa povu.
povu lako linadhihirisha kuwa kisu cha ngariba kimefika kwenye mfupa.
 
daah! nilikua nasikia tetesi tu kuhusu kibera,sasa nikasema ngoja nikienda mombasa safari hii nitaunganisha mpaka nairobi nikajionee hiyo kibera, aisee nimefika kule hata nusu saa cjaimaliza nikamwambia mwezangu tugeuze huku sio kabisa,, ni pachafu saana watu wanaishi maisha magumu sana pale, yoteyote niliduwaa tu pale nilipopita relini, jamaa akaniambia angalia usikanyage mifuko hiyo. pita juu ya reli, nikamuuliza una maana gani, akaniambia hivyo ni vyoo vya watu, wanaita flying toilet, hajamaliza kuongea tukasikia paah, kitu kimeachiwa huko juu kinapepea kwenye rambo. halafu nawashangaa walivyo na nyodo sasa huku mitandaoni, 80% wanatokea huko kibera.
Pia hio 80% uliona kwa macho ama?
With minor psychological observation you're just another phony.
 
na azam juice ni ya kenya, na mo juice ni ya kenya,. sasa mtakuaje na bia inaitwa serengeti ambayo ni mbuga yetu ya tz, au mnatutangazia utalii, na mlivo na wivu msingethubutu kuiita serengeti, hizo bia zote ulizotaja ni za tz
If you were wise you would do your research
 
Daah
Hawa jamaa hatujawaletea mapicha ya Tegeta masaiti, Mbweni, Salasala, Bunju, Kigamboni n.k nk waone dream houses wangeshaufyata mkia. Wanadhani dream houses pekee zipo Tandale.
 
Back
Top Bottom