Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kizuri chajiuza ila kibaya lazima kitumie nguvu nyingi sana ili kionekane kizuri nchi ya kenya ni sawa sawa na kupaka rangi taka kwa nnje ili ionekane safi na inapendeza angali ndani imeshaoza na inanuka harufu chafu....

Matokeo yake day afta day matokeo yanabainika
kwa upande wa utalii, Kenya haifai kushindana na Tz kabisa. hilo lazma ukubali maana Tz ina vivutio vingi mno. munafaa kushindana na Morocco, na Egypt. hamuitwi bongolala bila sababu
 
mbona una akili za kima mwenye makalio mekundu?😀😀😀😀😀chokoraa wa uswazini😀😀😀
Nimekuuliza kiroho safi maana nilipata taarifa kama machokoraa wenzako wa kikenya walikupiga mtungo kwenye linda....

Ndiyo maana nikakuuliza hujafa tu
 
Nimekuuliza kiroho safi maana nilipata taarifa kama machokoraa wenzako wa kikenya walikupiga mtungo kwenye linda....

Ndiyo maana nikakuuliza hujafa tu
mwulize kima mwenzako huyu hapa😀😀😀
18tr76.jpg
 
kizuri maisha yanaendelea cha ajabu ukimuweka maskini wa kenya ukimlinganisha na huyo wa ldc maskini wa ldc ni bora kuliko wa kenya.,..


Imekaaje hii kitu
unataka kusema hakuna maskini wa kutupwa tz?😀😀😀
 
huyo jamaa ana miaka karibia 40 lakini akili zak kama za mtoto wa nursery😀😀😀😀 yaani mtu mzima anaenda kwa Nairaland search box anaandika keywords (Kenya)😀kwani wanigeria watatupeleka wapi?
povu hilo....halafu acha tabia za kisenge-nyaji. mtoto wa kiume hatakiwi kuwa na tabia za kusengenya mtu, hiyo ni tabia ya kike.unapokuwa na issue na mwanaume mwenzio mfate na umwambie face to face....ulitakiwa uni-tag au uni-qoute.


btw,kwa sasa nina miaka 50+ nilishavuka hiyo 40.
 
No picture can cover all the kilometres, jiongeze basi hata kidogo

The most important thing to prove is Google Map only, sawa nyang'au....

Halafu yaani kama kweli mtu kashawahi fika Dar hii ndo barabara yake ya kwanza kutia mguu akitoka tuu kwenye pua ya Airport

This is the Nyerere Road
6d69ba7380960d1eb86ef8b159fdcf01.jpg

Starts at Kamata Junction, Kariakoo to Gongo la Mboto through Julius K. Nyerere Airport

Hapa ndipo BRT phase 3 itakapopita 21.something Km's
Sipatii picha kuiona brt chini ya tazara fly over
 
povu hilo....halafu acha tabia za kisenge-nyaji. mtoto wa kiume hatakiwi kuwa na tabia za kusengenya mtu, hiyo ni tabia ya kike.unapokuwa na issue na mwanaume mwenzio mfate na umwambie face to face....ulitakiwa uni-tag au uni-qoute.


btw,kwa sasa nina miaka 50+ nilishavuka hiyo 40.
Mungu wangu...kumbe wewe ni senior??? alafu mbona immature hivi? kuuliza tu...niliwahi kuambiwa niwaheshimu wazee...
 
tunafanyia marketting nchi yetu ili tuweze kuvutia watalii. na hii tumeifanya kwa miaka mingi sana. huwezi kulinganisha Kenya na Tz kwa upande wa vivutio vya kitalii. Tz imebarikiwa si haba. nyinyi mukilala sisi tutaendelea kusema Kilimanjaro, Olduvai Gorge na Ngorongoro Crater ziko Kenya.

hiyo haiitwi marketing,huo unaitwa utapeli.

marketing unafanyia kitu chako unachotaka kinunulike,halafu hii tabia ya kudanganya ulimwengu kuhusu mlima huu,ndio inafanya mnakwenda kupokonywa hata hiyo mia mbili mliyokuwa mnachukua kupitia usafiri wa anga kwa watalii.

mngekuwaga wastaarabu tungegawana umasikini tu,siye siyo wabinafsi.
 
kwa upande wa utalii, Kenya haifai kushindana na Tz kabisa. hilo lazma ukubali maana Tz ina vivutio vingi mno. munafaa kushindana na Morocco, na Egypt. hamuitwi bongolala bila sababu
kila kitu kinawakati wake..,,......sisi hatushindani na mtu tunafanya yetu kwa upande wetu huyo huyo bongolala anaitwa mbongo na anaishi eneo la bongo kaa na ujiulize kwanini imeitwa bongo...


Na kingine huyo huyo bongolala anauwezo mkubwa wakuwachagulia raisi ampendaye katika nchi yenu endapo akiamua
 
anayeabudu wanaijeria ni huyo kilaza-mugger anaitwa lewis.

tazama alichozungumza then tazama jibu nililo mpa....utabiani ni watu wa nchi gani EA wanaabudu wanaijeria.

73ca1b788c135e13039c2046bcb62b03.jpg
lakini act your age bro....nimeanza kushangazwa na tabia zako...unanitia wasi wasi...hivi karibuni watu wa miaka 60 watakuwa wakinyonya matiti za mama zao jinsi unavo behave😀😀😀
 
una kila sababu ya kumiheshimu cos kiumri mimi ni sawa na yule baba yako anayelewa pombe hovyo kule ushago.
Duh!!! heshima kwa mzee anayerauka kila siku kupambana na wakenya mitandaoni...pole bro😀😀😀😀una akili za teenager😀😀😀
wazee wenzako wnasoma gazeti kule na ku discuss mada za kizee wewe unapambana na wakenya mitandaoni😀😀😀kwani akili zinarudi reverse?
 
lakini act your age bro....nimeanza kushangazwa na tabia zako...unanitia wasi wasi...hivi karibuni watu wa miaka 60 watakuwa wakinyonya matiti za mama zao jinsi unavo behave😀😀😀
inaonekana upo desperate sana na umri wangu, ipo siku utanijia inbox kutaka nikutumie picha yangu.... mashoga mna mbinu nyingi sana za kujitongozesha kwa wanaume marijali.

anyway, this is me in my 50s enjoying life.

e47677179490d9ab68583d922536f9f9.jpg
1f4a0fc487450b4eea626ea867808308.jpg
 
kwa upande wa utalii, Kenya haifai kushindana na Tz kabisa. hilo lazma ukubali maana Tz ina vivutio vingi mno. munafaa kushindana na Morocco, na Egypt. hamuitwi bongolala bila sababu
Leo hii yameku hayo yani unazungumza hata aibu huoni😀😀😀😀 sio nyinyi mliokua mkitangaza mt kili na olduvai iko kenya au umesahau, sasa hvi mumebanwa makende munaanza kumtafuta mchawi

Hakuna sector yoyote keny inayofanya vzr zote zinapumulia mashine ICU
DD41D5A7-805B-4B46-89ED-694CC9F98AF3.jpeg
 
inaonekana upo desperate sana na umri wangu, ipo siku utanijia inbox kutaka nikutumie picha yangu.... mashoga mna mbinu nyingi sana za kujitongozesha kwa wanaume marijali.

anyway, this is me in my 50s enjoying life.

e47677179490d9ab68583d922536f9f9.jpg
1f4a0fc487450b4eea626ea867808308.jpg
enjoy tu sina ubaya na watu kujienjoy ila kwa jinsi unavobehave kaka nina wasiwasi nawe😀😀😀😀...akili za kitoto kumbe unakuza cabbage kwenye makwapa na kunyoa mvi kila asubuhi😀😀😀
 
Back
Top Bottom