Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Isipokua jina lako la Kike ni nini kingine unacho cha maana?
pole kwa ban kijana...ukitoka kifungoni kichwa chako kitakuwa kimeka sawa na utapunguza matusi.utacha kuandika kwa emotions za kikenya.

asante sana Moderator kwa kuchukua hatua.job well done.
 
Hii ni roho mbaya ambayo hata shetani atawagomea hakuwatuma wakenya .....i hate u kenyans unawezaje mfanya binadam mwenzio hivyo ......chaaaaaaa aaaarrrrrggghhhhh
Yani hawa hawapaswi hata Kupumua kwa unyama huo, Stupid Kenyans...
 
Ona hawa wakikuyu wanavyowafanyia ndugu zetu wajaluo huko Kenya.. Nani anataka kuishi na Jirani km huyu

e183e04117db64fa7669e439b7df802e.jpg
mungu wangu...wakenya washafikia huko?..jesus!!!!.
 
a3dcdee01a0faa38c44cce35ab244e46.jpg

pole sana lewis kwa kuchezea ban. huwa kila mara nawaasa wakenya mpunguze kuandika kwa emotions huwa hamsikii.

hayo ndio matokeo yake...yule kilaza mwingine anayependa kutukukana bila sababu na yeye naona kachezea ban.

btw jf sio Twitter kwamba unaweza ukaandika chochote halafu ukaachwa tu. jf ina policy zake na lazima zifatwe.
Moderator ako na utoto
 
kwa kuwa vijana wa kikenya wanababaika sana na vitu vya wazungu, i present to you american's seventh largest fast food restaurant chain in dar es salaam, pizza hut.

they have simplified the paying process...you can now conduct your payment via vodacom-mpesa for a service.
790feeb7ae4d6069188d64307d84f020.jpg
ecca3cc83c9d6161b770fa5637d002c5.jpg
8f177a8746c97d7b1505865fbc9f977f.jpg
6c65eca36b3f4f4d187e38d21eae8273.jpg
 
hahahaha....ban hoyeeee.
uzuri wa ban kila unavyopigwa ndio unazidi kuipenda jf.yaani utafanya kila mbinu ili uweze ku-access jf.

tusishangae kuona ID mpya.
 
kwa kuwa vijana wa kikenya wanababaika sana na vitu vya wazungu, i present to you american's seventh largest fast food restaurant chain in dar es salaam, pizza hut.

they have simplified the paying process...you can now conduct your payment via vodacom-mpesa for a service.
790feeb7ae4d6069188d64307d84f020.jpg
ecca3cc83c9d6161b770fa5637d002c5.jpg
8f177a8746c97d7b1505865fbc9f977f.jpg
6c65eca36b3f4f4d187e38d21eae8273.jpg
Lipa na mpesa ni jambo geni hapo kwenu...
huku imekuwa since 2011
 
sometimes this guy leaves me in awe ...tunaongelea bitcoins wao bado wanashtuka na lipa na mpesa kitu imekuwa kenya since 2007
wewe nawe umekurupuka. hata hujaelewa nilichokuwa nazungumzia.

btw, niambie ni service gani huko kenya naweza ilipia kwa bitcoin?.
 
wewe nawe umekurupuka. hata hujaelewa nilichokuwa nazungumzia.

btw, niambie ni service gani huko kenya naweza ilipia kwa bitcoin?.
Just thinking aloud......you brag of non entities.....shame.Those are essential services ....Puga
 
dandora dumpsite has nothing to compare with in terms of size, 30 acres is not a joke. serious shit right there.

halafu kumbe wale wakenya masikini dandora dumpsite ndio mkombozi wao, huitumia kuokoteza vitu.smh
69e7016a811303b726c5d5ef02b71446.jpg
1352e385b4eb8167ea105439df73e770.jpg
 
Back
Top Bottom